Tafsiri ya kukutana "kimwili"

Tafsiri ya kukutana "kimwili"

teh teh teh kama baba Askofu Gwajiboy......anakata viuno na makalio kabana kama mfuniko wa kopo la kimbo binti hana habari

๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚Nmecheka sana jamN ..๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ™‚una nn ww lakini..dah...aisee๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚...yule dada aliniletea makwazo sana san yaan
 
Nitasahihishwa kama nitakua chaka..

Hua tunasema mwili ni kama kanisa na kanisani panajulikana kuwa ni sehemu ya ibada (ibada lazima ihusishe imani, hakuna ibada bila imani). Watu wanaokutana kanisani katika ibada wanakua ki2 kimoja either wakristo n.k
Endapo kanisa litatumika katika jambo lisilo la kiimani basi ile haitokuwa ibada.

Nafikiri kidogo nimemwelewa mleta mada, Tendo la ndoa kiimani ni kama ibada, kwamba watu wa2 ME na KE wanakua kitu kimoja/ mwili mmoja.. Tendo la ndoa uhusisha imani za mapenzi na hisia baina ya wafanyaji.. endapo tendo hilo litafanyika bila imani za mapenzi na hisia basi haliwezi kuitwa ibada maana litahusisha mwili tu na sio roho..
Mungu huchukizwa na matumizi mabaya ya miili yetu.

Yohana 2:16
Akawaambia wale waliokuwa wakiuza njiwa: โ€œOndoeni vitu hivi hapa! Acheni kuifanya nyumba ya Baba yangu kuwa nyumba ya biashara!โ€


Mtoa mada ndo lilikua lengo hili๐Ÿ˜Š
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚Nmecheka sana jamN ..๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ™‚una nn ww lakini..dah...aisee๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚...yule dada aliniletea makwazo sana san yaan

Tunafundisha masomo kwa mifano ili watu waelewe vizuri dadaangu........wangeanza sema oooh leta picha wamzongee kaka Mshana Jr mie nimeweka kielelezo(kwenye ramani tunaita UFUNGUO)

Nje ya mada: Alikuletea makwazo kivipi???
 
Tunafundisha masomo kwa mifano ili watu waelewe vizuri dadaangu........wangeanza sema oooh leta picha wamzongee kaka Mshana Jr mie nimeweka kielelezo(kwenye ramani tunaita UFUNGUO)

Nje ya mada: Alikuletea makwazo kivipi???


๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ ngoja nicheke kwanza ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚Key:
 
Tunafundisha masomo kwa mifano ili watu waelewe vizuri dadaangu........wangeanza sema oooh leta picha wamzongee kaka Mshana Jr mie nimeweka kielelezo(kwenye ramani tunaita UFUNGUO)

Nje ya mada: Alikuletea makwazo kivipi???

.Aliniboa...yule hakufika kbs .na hakufeel kbs .alotulia tulii..kama mjane ndo kaanua matanga๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜
 
Halafu wanaokutana kimwili pekee ndo wale wanaogundua hadi style za ajabu ajabu
tapatalk_jpeg_1558256818406.jpeg
 
Mke na mme wapo wasio kutana kiroho wakati wa ngono?
Tunaotoa ushauri nasaha tunakumbana na ndoa nyingi tu za watu hao. Unawezaje kukaa na mwanamume mmeoana miaka 8. Miaka 5 ya kwanza mlikuwa mko poa kabisa ghafla unaanza kusikia maumivu makali akuingiapo!! Huko ni kukatika kwa kule kukutana kiroho. Unamwona ka jitu tu linalokuingia bila ridhaa yako
 
Tunaotoa ushauri nasaha tunakumbana na ndoa nyingi tu za watu hao. Unawezaje kukaa na mwanamume mmeoana miaka 8. Miaka 5 ya kwanza mlikuwa mko poa kabisa ghafla unaanza kusikia maumivu makali akuingiapo!! Huko ni kukatika kwa kule kukutana kiroho. Unamwona ka jitu tu linalokuingia bila ridhaa yako
 
Bila shaka na wewe #demisse mlikutana kimwili
 
Back
Top Bottom