HB wa kigogo
JF-Expert Member
- Aug 24, 2017
- 2,489
- 6,251
Wadada fungukeni, je kuna ukweli kwenye hili
Nimeona baada ya kupostWashaupost huu uzi
Kwa nini?Ndio ndio hatupendi
Ujinga huoKwa nini?
Kabsaa six pack za nn
Ukipata zako mtu mwenye sura personal na kitambi chake
Burudan sio hao wapaka lipstick
aiseeHaya mambo ya six-pack siku hizi ndio yameshika chat. Vijana kutwa nzima wanashinda kwenye vyumaWenyewe wanaita "personality "
Haya mambo ya six-pack siku hizi ndio yameshika chat. Vijana kutwa nzima wanashinda kwenye vyuma
Ndio maana kila siku wanalizwa na wazee.Badala ya kutafuta ela waache wavimbishe vifua wazee wanawapiku tu
Ndio maana kila siku wanalizwa na wazee.
Mwonekano ni kitu cha ziada tu. Ndio maana unakuta jamaa kauzu ila anamiliki manzi mkali ile mbayaAfu wanakuja kulialia huku jf
Mwonekano ni kitu cha ziada tu. Ndio maana unakuta jamaa kauzu ila anamiliki manzi mkali ile mbaya
Wanahangaika tu haziwafikishi kwenye mafanikio ya maisha, wakaze kuzisaka noti tuHaya mambo ya six-pack siku hizi ndio yameshika chat. Vijana kutwa nzima wanashinda kwenye vyuma
Wamejijengea akili kwamba wanawake wanavutiwa na six-pack sawa sawa na upande wapili (ke) walivyo jijengea akili kwamba wanaume wanavutiwa na chura. Wanashindwa kutambua mahitaji yanatofautianaWanahangaika tu haziwafikishi kwenye mafanikio ya maisha, wakaze kuzisaka noti tu