Tafiti wanawake wengi wana ubaba ndani yao

Tafiti wanawake wengi wana ubaba ndani yao

Aigoo

JF-Expert Member
Joined
Feb 27, 2015
Posts
3,124
Reaction score
2,820
Katika tafiti zangu nilizochunguza wanawake wengi siku izi wana tabia za ubaba ndani yao mwisho wa siku madhara yake wanashindwa kuolewa, kulea familia, familia kukosa maadili na mengine mengi tabia za ubaba ni kama;
Haki sawa
Kutongoza wanaume
Wataalam wa gambe
Kuoa
Kazi yako kazi yake
Kuvaa suruali

Ongezea na wewe za kwako badilisha.
 
Mtu anapaka make up lisaa ila hata kusonga ugali wa wanaumme watatu hawezi,mahausi geli saivi wanapata tabu sana.
 
Wanahasira sana,maamuzi yao yaheshimiwe,na akiamua anakupa tendo la ndoa au hakupi na maneno ya karaha sana ...hii inafanyaa nyumba ndogo zipendwe zaidi..
 
ukiona mwanamke yupo bar halafu anakunywa safari au konyagi huyo sio mama ni baba sasa
Tena hasa wengi wa hivyo hawezi kulea familia
 
Mtu anapaka make up lisaa ila hata kusonga ugali wa wanaumme watatu hawezi,mahausi geli saivi wanapata tabu sana.
Mie ambae hawezi hata singa ugali nafukuza
 
Wanahasira sana,maamuzi yao yaheshimiwe,na akiamua anakupa tendo la ndoa au hakupi na maneno ya karaha sana ...hii inafanyaa nyumba ndogo zipendwe zaidi..
Sometimes kuwa na mke zaidi ya 1 ni raha
 
Back
Top Bottom