TAFFA yawakataa mawakala wa forodha kutoka Rwanda kuja Tanzania kufanya kazi

Wacha rwandese waje kuchukua kaz ila tu wasitunyime kaz za kwenda rwanda mana kwa mwez unaeza enda mara 3 kuliko zambia kongo mara2 au mara 1.
Kazi lazima zitaachwa kwa wazawa.. Wao watafatilia utoaji wa mizigo yao tu
 
Kazi lazima zitaachwa kwa wazawa.. Wao watafatilia utoaji wa mizigo yao tu

Sasa ndio hata Mofed au Malawi cargo kaachia wazawa wasafirishe sasa ndo pale kusema waswahil kudandia tren kwa mbele kujfanya wanajua kumbe chenga ile n kufacilitate utoaji wa cargo pale port ni hayo tu (On the way to likasi south of DR-congo)
 
Wakati sakata la kupungua kwa uingizwaji wa mizigo katika bandari ya Dar es Salaam likiendelea kutikisa,Chama cha Mawakala wa forodha Tanzania (Taffa) kimepinga ombi la mawakala wa forodha kutoka Rwanda kutaka kuja kufanya kazi Tanzania.

Rais wa Taffa Stephen Ngatunga alieleza kuwa endapo serikali itawaruhusu mawakala hao kuingia nchini itakuwa imeua ajira za wazawa.

"Maombi hayo ni kinyume kabisa na utendaji kazi wa jumuiya ya Afrika Mashariki endapo watakuja huku kushughulikia mizigo yao sisi tutafanya kazi gani" alisema Ngatunga...


Chanzo: Mwananchi
Walianza kwa kufanyia assessment kwao huku wanakuja na release wanaona haitoshi,wakaweka utofauti kwenye cargo transportation bado hawakutosheka sasa wanataka waje kufungua office zao hukuhuku!? Hii sasa inareflect kile kisa cha tembo na ifadhi ya mvua
 
Hawa mawakala si ndio wale walioitisha mgomo wa kutoa mizigo?

By the way hawa hawa si ndio waliokuwa matapeli wakubwa pale bandarini?
 
Sasa ndio hata Mofed au Malawi cargo kaachia wazawa wasafirishe sasa ndo pale kusema waswahil kudandia tren kwa mbele kujfanya wanajua kumbe chenga ile n kufacilitate utoaji wa cargo pale port ni hayo tu (On the way to likasi south of DR-congo)
Wabongo utawaweza.. Kila kitu siasa tu wao na chuki zilizojiviriga mioyoni mwao.. Mtu kaja na kelele kibao hapa kumbe hata uzoefu kwenye hii sekta hana na wala hajui lolote..

Bon Voyage Sir..
 
Tumekalia akilii..
Huku tunapiga vigelegele..
Hahahaa..
Aise kweli,mie hapa sioni tatizo kwani hawa mawakala wanashughulikia mizigo ya rwanda, kama mzigo unaenda Rwanda wanalipia ushuru wa Rwanda hapahapa hivyo tutapata retention income, hizi fedha kabla ya kuhamishwa kwenda rwanda mabank yatazitumia pia, pia itasaidia kuondoa tatizo la ukwepaji kodi. Mfano tunakubaliana kuwa ushuru wote wa rwanda utalipiwa CRDB na CRDB nao wakafungua tawi Kigali kwahiyo mtu ataamua kulipia Dar au kulipia Kigali, automatically hawa wezi wa power window watakuwa wamefutika.
 
Chama cha mawakala wa forodha Tanzania kimelaani NA kupinga kwa juhudi zote ombi la mawakala wa forodha Rwanda kuja kufanya kazi tanzania
Raisi wa taffa Stephen ngatungaaa amelaani NA kusema serikali isikubali ombihilo NA wao watalipinga kwa garama zote maana watanzania wengi watarudi mtaan NA kuwa majambazi kwakukosa ajiraa

Nasema hilii sioo la taffa tu watanzaniaa wotee tulaaano NA kupijnga hilii nilisemaaa waliitamani siku nyingi bandari hats kusema wapewe wiki mbili tu mnaikumbuka HII statement

Leo HII mkiiruhusu wanyarwanda kuwa mawakala mwisho watawarolea kila kitu mipakani na watanzania kukosa ajiraaa wameanza bandarini wataomba boda za namanga mwishoo sirari NA boda zote mnakuwa mmewakabidhi

Kiusalamaaa MH Raid aliangalie hili sioozuri hats kidogo inajulikana wazi adui akitakaa kukuchapa anaanza kudili NA mipaka NA sehemu zote za kumsaidia kama airport nk...

Ninii maanayake mkiruhusu wanyarwanda bandarin mwakani wanaomba kutoa mizigo airport mwisho wa siku airport wanajua kila kinachoendelea kuhusu Tanzania
ina bandarini

Tunalaaani NA kupinga kwa nguvu zootee NA atakaeruhusu hilii tutaandamanaaa in anycost
 
Point no
Lack of Info ndio tatzo la wabongo na Ujuaji Hiv Wale MOFED(kampuni ya Utoaji mizigo iliochini ya wizara ya mambo ya Nje ya Zambia) au Malawi Cargo(Ndio ICD kubwa ukiacha TRH na ndio ICD inayo operate mpka sasa na kugawa mizigo kwa wengine kama PMM icd na Lake Oil AFICD pia malawi cargo ukiacha kurasin wana ICD mbeya Tazara kwa waliopita pale iyunga au Tanzam road ile kwenda Zambia) Zile Kampuni mnajua ni za watanzania au..??????? Hapa tushavamiwa toka long time ila mlkua hamjui TU.
ted, hawazungumzii yard ya wamalawi wala ya wazambia wanaona za wanyarwanda tu.
 
Mbona kuna Wakenya,Waganda,Wahindi wengi tu kwenye mabenki na kazi nyingine? Nchi hii ina mambo hadi Wanyarwanda wanataka kuja kutoa mizigo yao! Au ndio masharti ya kupitisha mizigo yao kwetu?
Protakali ya jumuiya ya Afrika mashariki inaruhusu raia wa jumuiya kufanya kazi popote Afrika mashariki japo Tanzania bado inasuasua kwa hili. Kenya Rwanda wamefuta kabisa ada ya kibali cha kufanya kazi kwa raia wa EA.
 
Mission ya Rwanda no kudeal NA bandari NA airport zetu NA mwisho mtasikia wanaomba boda za Tanzania wakatoe mizigoo mtatiwa mimba ya maana sikuyamwisho muwajue vizuri take ma words .......huu upuuzi usiruhusiwee milele
 
Mbona kuna Wakenya,Waganda,Wahindi wengi tu kwenye mabenki na kazi nyingine? Nchi hii ina mambo hadi Wanyarwanda wanataka kuja kutoa mizigo yao! Au ndio masharti ya kupitisha mizigo yao kwetu?
A cowardly Weak leadership...,
 
Kagame ana akili sana,
Anaishi na kufanya maendeleo kupitia rasilimali za nje nyingine
Umeiona jinsi jk alivyokuwa clever eeh mkuu,pamoja na mapungufu yake,hakika hakuna aliye mkamilifu,ila hayoo yote yanayo happened now ni akili ama wazo la mtu mmoja tu,sio la watanzania kabisa,tuko mbali mnoo kulikoni hao Rwanda...
 
Serikali ikiruhusu ujinga huu,nitakuwa mstari wa mbele kabisa kupinga suala hili.

Hii ni fedheha ya kiwango cha juu kabisa
 
Ahhaahha.....kagame buana...nilikuwa najiuliza mbona alikuwa bifu na jk...
Sasa aliona mtelemko fulan...akisifia tu...anapewa hata kiwanja ajenge..
Jk jembe
Si unakumbuka jinsi gani alivyo wachapa wale m23 sijuw,
Ni jeshi la kagame lilikuwa wit fake id
 
watu wanavyoandika kwa uchungu na hisia chaajabu wenye dhamana wamerelax tena usishangae humu kuna watu watapelekwa kwa hakimu mkazi.
Huyuu Mkuu wetu anatuangusha mnoo yaani,badala ya ku romances watu wake
Yeye anakwenda kum Romances enemies wetu,duuuu nooma xana
 
Back
Top Bottom