Tafakuri yangu: Kifo cha Job Ndugai ( Spika Mstaafu)

Tafakuri yangu: Kifo cha Job Ndugai ( Spika Mstaafu)

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
359,869
Reaction score
828,403
Neno la Mungu linasema.. Maisha ya mwanadamu ni miaka 70 na akiwa na nguvu ni miaka 80....! Baada ya hapo utaishi miaka ya bonus au ya ubatili!
Job Ndugai katwaliwa kutoka maisha haya! Bila kuteseka sana na bila maumivu.. Kufumba na kufumbua mtu kanyamaza
Ni mojawapo ya vifo bora kabisa! Ambavyo wengi wetu wangetamani kufa

Kuna videos zinazunguka mitandaoni zikidai ni shangwe ya wananchi kufurahia kifo chake! Sina ithibati juu ya uhalisia wake lakini kwa kawaida watu huumizwa na kifo na si kufurahia

Ikumbukwe ya kwamba marehemu Job Ndugai ndiye mgonjwa ghali zaidi duniani anayeshikia rekodi ya Guiness book of records kwa kutumia takribani shilingi BILIONI 26 na ushee kutibiwa nchini India
Hizi hazikuwa pesa zake binafsi bali aligharimiwa na serikali ya Tanganyika
Kwenye maisha ya uhai na kifo kuna vifo vya hiari na kuna vifo vya lazima! Kila roho inayoacha mwili hupitia mojawapo kati ya hivyo na ndio maana watu husema hakuna kifo kinachokosa sababu!
Marehemu Job Ndugai ni baba wa familia, akiwa pia na ndugu jamaa na marafiki! Hawa watakuwa wameumizwa sana na kifo cha mpendwa wao lakini wataumia zaidi kuona furaha ya wengine juu ya kifo chake hiki!

Furaha ama huzuni juu ya kifo cha mtu huwa na viasili vingi... Wakati Job Ndugai akitibiwa kwa bilion 26 na ushee
Kuna mamia walikufa kwa kukosa elfu 10 moja ya dawa ama matibabu
Kuna vitu viwili huwa havinajisiwi.. Ardhi na uhai.. Hizi ni tunu mbili pekee takatifu alizopewa mwanadamu na mola wake
Ukizilinda, kuziheshimu na kuzitunza, unajiandalia mwisho mwema wewe na familia yako hapa duniani na hata milele!

Wengi wameangamia kimwili na kiroho kwa kuziseta, kuzifharau, kuzidhihaki na kuzitendea vibaya hizi tunu mbili takatifu mbele za macho ya Mungu wetu
Kuna wakati wafao huwa hata na habari kuwa wamekufa hasa wale ambao huishi kimwili zaidi ya kiroho! Shida hubakia kwa walio hai
Kifo cha Job Ndugai kinatupa tafakuri muhimu juu ya uumbaji.. Maisha yetu duniani.. Heshima na thamani kwa wengine bila kujali udogo ama ukubwa wao
Tafakuri juu ya chama chake na maisha yake kisiasa na wale wore aliowatendea vibaya kwa sababu tu ya madaraka!
Wengi kati yao wako hai wakiwa sehemu ya furaha ama wakikiangalia kifo chake kwa tafakuri kuu
Yote juu ya yote hakuna mkamilifu chini ya jua.. Lakini daima usishindwe na ubaya! Bali ushinde ubaya kwa mema!
Pumzika Job Ndugai ama iishi karma yako katika uhai wako mpya nje ya mwili uharibikao!

Wakati si milele❗

(6,794) Gharama matibabu Ndugai yazua jambo. Alitumia zaidi ya Dola Milioni 12 | JamiiForums Gharama matibabu Ndugai yazua jambo. Alitumia zaidi ya Dola Milioni 12
 
Neno la Mungu linasema.. Maisha ya mwanadamu ni miaka 70 na akiwa na nguvu ni miaka 80....! Baada ya hapo utaishi miaka ya bonus au ya ubatili!
Job Ndugai katwaliwa kutoka maisha haya! Bila kuteseka sana na bila maumivu.. Kufumba na kufumbua mtu kanyamaza
Ni mojawapo ya vifo bora kabisa! Ambavyo wengi wetu wangetamani kufa

Kuna videos zinazunguka mitandaoni zikidai ni shangwe ya wananchi kufurahia kifo chake! Sina ithibati juu ya uhalisia wake lakini kwa kawaida watu huumizwa na kifo na si kufurahia

Ikumbukwe ya kwamba marehemu Job Ndugai ndiye mgonjwa ghali zaidi duniani anayeshikia rekodi ya Guiness book of records kwa kutumia takribani shilingi BILIONI 26 na ushee kutibiwa nchini India
Hizi hazikuwa pesa zake binafsi bali aligharimiwa na serikali ya Tanganyika
Kwenye maisha ya uhai na kifo kuna vifo vya hiari na kuna vifo vya lazima! Kila roho inayoacha mwili hupitia mojawapo kati ya hivyo na ndio maana watu husema hakuna kifo kinachokosa sababu!
Marehemu Job Ndugai ni baba wa familia, akiwa pia na ndugu jamaa na marafiki! Hawa watakuwa wameumizwa sana na kifo cha mpendwa wao lakini wataumia zaidi kuona furaha ya wengine juu ya kifo chake hiki!

Furaha ama huzuni juu ya kifo cha mtu huwa na viasili vingi... Wakati Job Ndugai akitibiwa kwa bilion 26 na ushee
Kuna mamia walikufa kwa kukosa elfu 10 moja ya dawa ama matibabu
Kuna vitu viwili huwa havinajisiwi.. Ardhi na uhai.. Hizi ni tunu mbili pekee takatifu alizopewa mwanadamu na mola wake
Ukizilinda, kuziheshimu na kuzitunza, unajiandalia mwisho mwema wewe na familia yako hapa duniani na hata milele!

Wengi wameangamia kimwili na kiroho kwa kuziseta, kuzifharau, kuzidhihaki na kuzitendea vibaya hizi tunu mbili takatifu mbele za macho ya Mungu wetu
Kuna wakati wafao huwa hata na habari kuwa wamekufa hasa wale ambao huishi kimwili zaidi ya kiroho! Shida hubakia kwa walio hai
Kifo cha Job Ndugai kinatupa tafakuri muhimu juu ya uumbaji.. Maisha yetu duniani.. Heshima na thamani kwa wengine bila kujali udogo ama ukubwa wao
Tafakuri juu ya chama chake na maisha yake kisiasa na wale wore aliowatendea vibaya kwa sababu tu ya madaraka!
Wengi kati yao wako hai wakiwa sehemu ya furaha ama wakikiangalia kifo chake kwa tafakuri kuu
Yote juu ya yote hakuna mkamilifu chini ya jua.. Lakini daima usishindwe na ubaya! Bali ushinde ubaya kwa mema!
Pumzika Job Ndugai ama iishi karma yako katika uhai wako mpya nje ya mwili uharibikao!

Wakati si milele❗
View attachment 3434516
Nabii Lema.
 
Neno la Mungu linasema.. Maisha ya mwanadamu ni miaka 70 na akiwa na nguvu ni miaka 80....! Baada ya hapo utaishi miaka ya bonus au ya ubatili!
Job Ndugai katwaliwa kutoka maisha haya! Bila kuteseka sana na bila maumivu.. Kufumba na kufumbua mtu kanyamaza
Ni mojawapo ya vifo bora kabisa! Ambavyo wengi wetu wangetamani kufa

Kuna videos zinazunguka mitandaoni zikidai ni shangwe ya wananchi kufurahia kifo chake! Sina ithibati juu ya uhalisia wake lakini kwa kawaida watu huumizwa na kifo na si kufurahia

Ikumbukwe ya kwamba marehemu Job Ndugai ndiye mgonjwa ghali zaidi duniani anayeshikia rekodi ya Guiness book of records kwa kutumia takribani shilingi BILIONI 26 na ushee kutibiwa nchini India
Hizi hazikuwa pesa zake binafsi bali aligharimiwa na serikali ya Tanganyika
Kwenye maisha ya uhai na kifo kuna vifo vya hiari na kuna vifo vya lazima! Kila roho inayoacha mwili hupitia mojawapo kati ya hivyo na ndio maana watu husema hakuna kifo kinachokosa sababu!
Marehemu Job Ndugai ni baba wa familia, akiwa pia na ndugu jamaa na marafiki! Hawa watakuwa wameumizwa sana na kifo cha mpendwa wao lakini wataumia zaidi kuona furaha ya wengine juu ya kifo chake hiki!

Furaha ama huzuni juu ya kifo cha mtu huwa na viasili vingi... Wakati Job Ndugai akitibiwa kwa bilion 26 na ushee
Kuna mamia walikufa kwa kukosa elfu 10 moja ya dawa ama matibabu
Kuna vitu viwili huwa havinajisiwi.. Ardhi na uhai.. Hizi ni tunu mbili pekee takatifu alizopewa mwanadamu na mola wake
Ukizilinda, kuziheshimu na kuzitunza, unajiandalia mwisho mwema wewe na familia yako hapa duniani na hata milele!

Wengi wameangamia kimwili na kiroho kwa kuziseta, kuzifharau, kuzidhihaki na kuzitendea vibaya hizi tunu mbili takatifu mbele za macho ya Mungu wetu
Kuna wakati wafao huwa hata na habari kuwa wamekufa hasa wale ambao huishi kimwili zaidi ya kiroho! Shida hubakia kwa walio hai
Kifo cha Job Ndugai kinatupa tafakuri muhimu juu ya uumbaji.. Maisha yetu duniani.. Heshima na thamani kwa wengine bila kujali udogo ama ukubwa wao
Tafakuri juu ya chama chake na maisha yake kisiasa na wale wore aliowatendea vibaya kwa sababu tu ya madaraka!
Wengi kati yao wako hai wakiwa sehemu ya furaha ama wakikiangalia kifo chake kwa tafakuri kuu
Yote juu ya yote hakuna mkamilifu chini ya jua.. Lakini daima usishindwe na ubaya! Bali ushinde ubaya kwa mema!
Pumzika Job Ndugai ama iishi karma yako katika uhai wako mpya nje ya mwili uharibikao!

Wakati si milele❗
View attachment 3434516
CCM inahaha kujinusuru kwa gharama ya maisha ya watu wake???
 
Naipa pole familia yake Ila pia nasikitika kuona alikuwa na familia ya watu wajinga ambao kikawaida wangemshauri aachane na ubunge na kuangalia Afya yake.

Kitendo cha kuiba kura za maoni usiku wa manane na kutangazwa hiyo pekee ilikuwa sauti aliyobidi kuisikia.

Na Kama angekuwa MTU wa kiroho angeweza kusikiliza Sauti yake ya ndani na asingethubutu kugombea.

Kutotumia akili na kukosa washauri vyote hivi vimechangia kifo chake .

Ukiona watu wengi wanasema haufai kuwa kiongozi wao ujue hiyo ni sauti ya Mungu na ukilazimisha utakufa kifo cha aibu Sana ndo hivyo unaiba kura unamaliza unakufa.
 
Andiko Bora zaidi
Neno la Mungu linasema.. Maisha ya mwanadamu ni miaka 70 na akiwa na nguvu ni miaka 80....! Baada ya hapo utaishi miaka ya bonus au ya ubatili!
Job Ndugai katwaliwa kutoka maisha haya! Bila kuteseka sana na bila maumivu.. Kufumba na kufumbua mtu kanyamaza
Ni mojawapo ya vifo bora kabisa! Ambavyo wengi wetu wangetamani kufa

Kuna videos zinazunguka mitandaoni zikidai ni shangwe ya wananchi kufurahia kifo chake! Sina ithibati juu ya uhalisia wake lakini kwa kawaida watu huumizwa na kifo na si kufurahia

Ikumbukwe ya kwamba marehemu Job Ndugai ndiye mgonjwa ghali zaidi duniani anayeshikia rekodi ya Guiness book of records kwa kutumia takribani shilingi BILIONI 26 na ushee kutibiwa nchini India
Hizi hazikuwa pesa zake binafsi bali aligharimiwa na serikali ya Tanganyika
Kwenye maisha ya uhai na kifo kuna vifo vya hiari na kuna vifo vya lazima! Kila roho inayoacha mwili hupitia mojawapo kati ya hivyo na ndio maana watu husema hakuna kifo kinachokosa sababu!
Marehemu Job Ndugai ni baba wa familia, akiwa pia na ndugu jamaa na marafiki! Hawa watakuwa wameumizwa sana na kifo cha mpendwa wao lakini wataumia zaidi kuona furaha ya wengine juu ya kifo chake hiki!

Furaha ama huzuni juu ya kifo cha mtu huwa na viasili vingi... Wakati Job Ndugai akitibiwa kwa bilion 26 na ushee
Kuna mamia walikufa kwa kukosa elfu 10 moja ya dawa ama matibabu
Kuna vitu viwili huwa havinajisiwi.. Ardhi na uhai.. Hizi ni tunu mbili pekee takatifu alizopewa mwanadamu na mola wake
Ukizilinda, kuziheshimu na kuzitunza, unajiandalia mwisho mwema wewe na familia yako hapa duniani na hata milele!

Wengi wameangamia kimwili na kiroho kwa kuziseta, kuzifharau, kuzidhihaki na kuzitendea vibaya hizi tunu mbili takatifu mbele za macho ya Mungu wetu
Kuna wakati wafao huwa hata na habari kuwa wamekufa hasa wale ambao huishi kimwili zaidi ya kiroho! Shida hubakia kwa walio hai
Kifo cha Job Ndugai kinatupa tafakuri muhimu juu ya uumbaji.. Maisha yetu duniani.. Heshima na thamani kwa wengine bila kujali udogo ama ukubwa wao
Tafakuri juu ya chama chake na maisha yake kisiasa na wale wore aliowatendea vibaya kwa sababu tu ya madaraka!
Wengi kati yao wako hai wakiwa sehemu ya furaha ama wakikiangalia kifo chake kwa tafakuri kuu
Yote juu ya yote hakuna mkamilifu chini ya jua.. Lakini daima usishindwe na ubaya! Bali ushinde ubaya kwa mema!
Pumzika Job Ndugai ama iishi karma yako katika uhai wako mpya nje ya mwili uharibikao!

Wakati si milele❗
View attachment 3434516
Andiko Bora zaidi Mr. Mshana big up
 
Nikisema nimeumia sana nitadanganya ila kusema sijashtuka itakuwa ni uongo maana katika muda ambao struggle for power imekuwa kubwa katika nchi hii ikiashiria transition ambayo si laini sana. Kwa mtu yoyote mwenye akili lazma atakiri kuwa huu moshi tunaouona kwa nje unaweza kuwa dalili ya moto mkali unaotupa dalili ya hatma ya nchi hii itayoamuliwa oktoba.

Kifo cha ndugai kama mtu mwenye ushawishi aliyeonesha kuwa against na system flani. Kuondoka kwake kunaweza kuleta balance ama misuse of power.


Hata hivyo ni tafakari tu ndogo ila wacha niwaache wafu wazikane
 
Back
Top Bottom