Tafakuri ya Kikwete

Katika kila jamii ulimwenguni hapakosekani kundi la bendera fuata upepo.. Wao si moto wala si baridi, ni vigeugeu na wana rangi za kinyonga hawana tofauti na popo
 
Katika kila jamii ulimwenguni hapakosekani kundi la bendera fuata upepo.. Wao si moto wala si baridi, ni vigeugeu na wana rangi za kinyonga hawana tofauti na popo
Aliyenisikitisha zaidi ni mwanasheria msomi Msando. Hivi haiwezekani kuhama chama bila kutoa maneno yasiyopendeza?
 
Mwenyekiti wenu ndio ana hali mbaya kupita maelezo kachanganyikiwa mpaka anajihusisha hadharani na walawiti.

Angejihifadhia utu kidogo.
hizi mboko anazowapiga Magu si za nji hii!

Mkuu usiumie sana, hata hivyo wewe endelea kusheherekea ujio wa kamanda mpya bwana nyalandu
 
Wataje ukifikisha 10 waliopigwa risasi na kuuwawa na waliojeruhiwa na waliopotea ukijumlisha na waliotekwa awamu hii nakupa Jero ya vocha usitukane we shusha tu majina alafu reply me ntajua kweli upo serious acheni mambo ya kihuni fanyeni maisha mambo tafuteni maisha acheni siasa za vijiweni
 
hizi mboko anazowapiga Magu si za nji hii!

Mkuu usiumie sana, hata hivyo wewe endelea kusheherekea ujio wa kamanda mpya bwana nyalandu
Tumia akili kidogo utuambie babu seya anatakiwa na jamii ili aje kufanya nini hata apewe msamaha?

Anawachapa fimbo nyie mnaoenda kama kuku kakatwa kichwa.
 
Tumia akili kidogo utuambie babu seya anatakiwa na jamii ili aje kufanya nini hata apewe msamaha?

Anawachapa fimbo nyie mnaoenda kama kuku kakatwa kichwa.
 
Mkuu.. Well said.
 
Kwa kweli JK, ukimlinganisha na huyu was sasa, kwa hekima na busara, ni opposites! Mbali mbali kama mashariki na magharibi!

Acheni kupiga ramli. Mnahangaika kuwafananisha wakati wenyewe wanajua kila kitu kinachoendelea. Fanyeni kazi mpate pesa.
 
Kwani mmekubaliana idadi ya mwisho iwe watu10..??? Hudhani kwamba HATA AKIWA MTU MMOJA, na upelelezi haufanyiki tayari ni tatizo..???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…