comrade_kipepe
JF-Expert Member
- Jun 25, 2019
- 8,331
- 16,856
Hongera man usiogope kila jasho lakoNikiwaza mustakabali wa taifa hili, afisa kipenyo, mh. Muwekezaji wa mabnda ya chips dar na mikoani, mlimaji wa ufuta na mpunga, mshauri mzuri na mwanadiplomasia nimetulia nikipata chakula cha mchana.
View attachment 3658819
Chakula nnachokula hapa kinapendwa sana kule mashariki ya kati,Asia na nchi za Arabia.
Sogea tuile Tanganyika kwa pamojaKumbe ndio wewe umekaa hapoo???
KabisaHongera man usiogope kila jasho lako
Ngoja nimuite menejaHiyo bar waache ubahili wabadili meza. Hizo zimechoka.
Pamoja sanaEndelea kuburudika
Nukta?
Mwisho wa kunukuu 😎Nukta?
Hapo imekata 9000Kitimoto na ugali sh ngapi huko kipepe?
Kula raha,hasara roho pesa makaratasiHapo imekata 9000
KabisaKula raha,hasara roho pesa makaratasi