Tafakuri mjengoni: Nani zaidi?

Tafakuri mjengoni: Nani zaidi?

kivyako

JF-Expert Member
Joined
Feb 2, 2012
Posts
14,342
Reaction score
12,065
2Q==
 

Attachments

  • Tafakuri bungeni.jpg
    Tafakuri bungeni.jpg
    18.9 KB · Views: 522
Ndo ipi hiyo mbona sioni kitu mkuu au kila mtu atafakuri kivyake?
 
jamaa wanakoroma ccm, ccm, ccm wamezaliwa ndani ya chama, wamekulia ndani ya chama, wamesoma ndani ya chama, wanafanya kazi ndani ya chama, wankula hela za wanachama so wakishiba wanalala na kuroma ccm ccm ccm cccm
 
captaiiiiiiin. ndyo noma mana kama vile hata huko jeshini alifunzwa na kusinzia pia mana kama ni alama basi anayo A+ wakali wasila anakarai. nwy hayo ndiyo maisha yalivo ndani ya ccm raha sana
 
Captain ni zaidi maana hata akiwa macho hatulii kwenye kiti aidha anaongea ongea na kuzungusha kiti au anachezea simu yake.. Lakini upande wa mzee W. yeye lazima azidiwe na usingizi lakini ni mchapa kazi.Nahisi wanapiga diet za nguvu lkn mazoezi sifuri.
 
Wana wasiwasi gani pesa za walalahoi masikini zinaishia mifukoni kwao. Wanakula wao tunakonda sisi, wanaib...wao tunafungwa sisi.
 


Kila moja kivyake, mmoja mbele ya Mwenyekiti wa CCM anateremka chini na kuburudisha na mwengine ni bingwa wa kujibu wapinzani pale anapoamka. Wapinzani hupata relief pale anapokuwa kwenye hali hiyo!
 
inaonekana mkuu. Kweli jamaa hawa kiboko. Yaani tamu usingizi wanaopata mjengoni inazidi wanayopata majumbani kwao.
Wametua kero zote za majumbani kwao na wamepumzika raha mstarehe, aliyewachagua atajiju, wakikurupuka wanaomba mwongozo kwa Ndugai
 
galindas! Hahahahhahha! Haya ni Majanga: kuna majanga, kuiba uibe wewe, kufungwa nifungwe mimiu, kula wewe, kukonda mimi.............! Majanga!

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Kazi kwa walio wachagua km walikubaliana nao wakalale uko ingekua ni busara wangewapa na magodoro kbs
 
Back
Top Bottom