Hapana Mama,Hawa walioandamana ndio wanachama wa vyama mbadala huko Busanda? Ndio hawa tunategemea wapige KURA kuidondosha CCM?
Hao walioshika viuno huko pembeni mwa barabara wakiwasare wenzao wakiandamana ni wana Busanda kambi ya CCM?
Tafakari: Long odds kuiondoa CCM madarakani kama dalili ndio hizi.
Hapana Mama,
Hawa walikuwa wanamsubiri Dr. Slaa huko Karatu.
Si Busanda...
Hawa walioandamana ndio wanachama wa vyama mbadala huko Busanda? Ndio hawa tunategemea wapige KURA kuidondosha CCM?
Hao walioshika viuno huko pembeni mwa barabara wakiwasare wenzao wakiandamana ni wana Busanda kambi ya CCM?
Tafakari: Long odds kuiondoa CCM madarakani kama dalili ndio hizi.