Yangu machoAsante kwa kuthibitisha kuwa sadaka zinatumika vyema. Sijajua kuwa ni bahati mbaya au makusudi haujaonyesha mahospitali, shule, vyuo na vituo vya watoto yatima vilivyojengwa kwa sadaka. Kwa kuwa umejiweka upofu, basi ndio mwisho wako wa kuona huo.