Tafakari na Masoud Kipanya

Tafakari na Masoud Kipanya

hakika Masoud kipanya ungeliandika kwa maneno, tungekuwa tumepiga kambi home kwako,
full combat,
Huyu hakurupuki kuwasilisha fikra zake kwa wazi.anawaachia watu waamue ujumbe uliolengwa kwa kuhusianisha na hali iliyopo katika maisha.Masoud sawa na mpoto.hawakupi mlengo wao ila wanakupa mwanya wa kutafakari ujumbe ulobebwa.
 
  • Thanks
Reactions: lup
Kuwaona lori la mafuta liliwaka moto Dumila thread ikaletwa humu na baadhi ya wachangiaji walidai dereva yule huenda amebashite leseni.
So huenda na dereva wa basi hili amebashite leseni.
 
Naona kipanya dawa yake ipo jikoni inachemka atanyooshwa muda sio mrefu kama max
 
Huyu hakurupuki kuwasilisha fikra zake kwa wazi.anawaachia watu waamue ujumbe uliolengwa kwa kuhusianisha na hali iliyopo katika maisha.Masoud sawa na mpoto.hawakupi mlengo wao ila wanakupa mwanya wa kutafakari ujumbe ulobebwa.
Mpoto ameshachuja tayari
 
Back
Top Bottom