Tafakari: Mh. Mwigulu alikuwa anamwambia nini Rais?

'Mkuu, ikiwezekana kikombe cha bashite kiniepuke. Ila si kama nikavyo mimi, ila ni kwa mujibu wa vyeti vyangu..''
 
Mhhh! ..."unamaanisha kwa huyu Sirro tumelamba dume kweli eti...?"
 
Mhhh! ..."unamaanisha kwa huyu Sirro tumelamba dume kweli eti...?"
 
hivi kumbe huyo mpambe anaweza kusikia chochote hata kama raisi anapenyezewa taarisfa nyeti zaidi ya nyeti zenyewe?

maana kwa huo ukaribu nahisi anadaka kila kitu
Kiapo nikitunza siri za rais na ukikiuka haina mahakama.....wanahukumu wenyewe sasa jitafakari.
 
Kuna maana nyingi zaidi hasa kwa anayeambiwa/kusikiliza.
Kuna vitu kama viwili vikubwa,kwa upande wa maelezo/logic na uamuzi/decision making.
Either kuna kitu katika kudifend kitu/inferiority complex au mikakati mapya ya kazi.
Kusema ni nini hasa inakuwa ngumu kwani picha zina taswira nyingi za utambuzi pengine hata hayo niliyoyandika ikawa si kweli.
 
Back
Top Bottom