Na ndio haswaaaa nia na madhumuni ya hiyo FGM! Hufanywa hivyo ili kumfanya mwanamke asiwe na hamu ya kufanya mapenzi.. Si kwamba huwa hawana hamu kabisa ila ni kwamba mwanaume inabidi afanye kazi ya ziada ili kumfikisha mwanamke wa aina hii.. Hii FGM ni kuwakosesha wanawake haki zao za kufurahia tendo la ndoa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.