Tafadhari best usitake kunivunjia ndoa

Tafadhari best usitake kunivunjia ndoa

Nadhani ungekaa naye akuambie shemeji yako hasa ni yupi ili mwingine akitokea kafumaniwa sema ukweli mbele yao. Acha uoga mwanaume mpe ukweli au unahofia kukosa hivyo viofa vya bia na nyama choma unapewa?

Chezea bia wewe, gharama yake inazidi kodi ya nyumba.
 
Huu ujumbe ungekuwa na maana kama ungempelekea muhusika moja kwa moja PM
 
Yani friend nimuandikie hii kitu? Mfate live bwana hizi mambo waachie watoto wa sekondari.
 
Tarime one wa namna gani wewe unamuogopa mtu kumface umchane live unakuja Jf kusimlia kimbea mbea apa mbona izo mambo zingine ulikuwa utusimlii????????
 
Sometimes inabidi kubadilika hata kama ndo asili au tabia tuliyojizosha Boyz and girls kuwa na michepuko mingi unajipalilizia natatizo kede kede kwann usitafute msichana ambaye au mvulana anliyekidhi vigezo unavyovitaka? Then utulie nae.
Baelezee mkuu hawajui mchepuko umeua wengi na wengine wako ICU. Eti nachepuka kwa akili mi naona na huyo friend ake aprint hii mada aipeleke kwa mke wa jamaa kama noma na iwe noma .
 
Tarime one,

Hahahahaaaa! Nacheka kwa masikitiko. So ukajiteteaje maskini kwa mkeo?

Mtoto wa kichaga kapaniki me nikampa makavu HILI SI KWELI simple like that,naamini alinielewa ingawa siku hiyo tulikaa kimachale machale,kufika night nikayamaliza ndani ya 6×6.
 
Last edited by a moderator:
heee! Yaani unajisifia kuchepuka kwa AKILI? VERY stupid.
 
Back
Top Bottom