Tafadhari best usitake kunivunjia ndoa

Tafadhari best usitake kunivunjia ndoa

Mwanaume, unajua una mke unawezaje kuwa unabeba mizigo ya kithenge kumfichia huyo mvulana mwenzio misalaba yake kwa kujisingizia hao ni madem zako?

kuwa we mwema? U DESERVE!!! umeyataka mwenyewe acha atengeneze kwake aharibu kwako.
 
we ni mvulana au mwanaume???

Kuna njia nyingi za kufikisha ujumbe, nyimbo, mashairi nk, naamini hata humu bado ni njia nzuri ya kufikisha ujumbe,

jukwaa hili ni bora kwa kufundishana na kuonyana, uwezo wa kumfuata na kumwambia direct sio kwamba sikua nao na ndio sababu nikawambia yumo humu na ujumbe kaupata,

Na niwambie jambo moja ninajitambua nilivyo na hasira za haraka na jinsi zilivyokwisha niletea madhara,we ita mvulana,mwanaume vyovyote vile, but kwangu hii njia niliyotumia ni bora.
 
Mpige ngumi tu ndo itakuwa suruhusu yako maana wife akisikia umemtia vitasa vya kutosha yeye mwenyew atajua kumbe uliingizwa mkenge na c ww
 
Tarime one,

Mbona kama sijaamini kuwa wewe ni Tarime One? Hivi siku hizi na nyie wanaume wa Tarime hamuoi ila mnaoana na wake zenu kama wazaramo, uumbea wa kike kabisa huo.

USITUDHRIRISHE
 
Last edited by a moderator:
mbona kama sijaamini kuwa wewe ni Tarime One ? ? Hivi siku hizi na nyie wanaume wa Tarime hamuoi ila mnaoana na wake zenu kama wazaramo, uumbea wa kike kabisa huo,, USITUDHRIRISHE

Umesema nisiwadhalalishe siamini kama wewe ni mtu wa tarime au musoma? coz kule kwetu Tarime unaweza kupata taarifa kabisa kwamba fulani anachepuka na mali yako,huwa hatukurupuki kwenda kupiga.

Tunachofanya unamtumia onyo kwanza,fulani unalolifanya nimelijua acha. Akitia kichwa ngumu hapo hatua zinazofuata huwa zinajulikana,na mimi nimetuma ujumbe kwanza au kakutuma?
 
mpz wako kakuta nywele za kike kitandani kwako anakuuliza unanisingizia kwamba mimi ndio nilikua hapo na mwanamke kweli!!!.:what::what::what:na mbaya zaidi kayafikisha kwa mke wangu,tayari nina mgogoro hapa kwangu.

Hoja yangu iko hapo sio huyo rafiki yako, kwa mtazamo wangu na vile nijuavyo culture ya kikurya hapo hujaoa ila bali mmeoana na mke wako, unamhofia akijua atafanya kitu kwako.
 
Nimejuta kusoma hii thread wakuu sababu jamaa kaonyesha udhaifu, upuuzi plus ujinga at max point. u're not a man.
 
Tarime one kuna msemo unaosema ndege wanaofanana hukaa pamoja. Hata hivyo kwa hili ulipashwa kumvaa uso kwa uso ili ajue unamaanisha. Kama unamuogpa kumueleza usoni kwake ina maana kuna vitu ambavyo havipo sawa kwako.

Urafiki uwe na mipaka siockueleza kila kitu. Sasa haya ndo madhara yake.
 
mpz wako kakuta nywele za kike kitandani kwako anakuuliza unanisingizia kwamba mimi ndio nilikua hapo na mwanamke kweli!!!.:what::what::what:na mbaya zaidi kayafikisha kwa mke wangu,tayari nina mgogoro hapa kwangu.

Hoja yangu iko hapo sio huyo rafiki yako, kwa mtazamo wangu na vile nijuavyo culture ya kikurya hapo hujaoa ila bali mmeoana na mke wako,, unamhofia akijua atafanya kitu kwako.

So we bado unaendekeza zile issue za kupiga wanawake hata kama wewe una kosa na haruhusiwi kuhoji uaminifu wako kwake kwa jambo kama hilo! na unaelewa maana ya mgogoro?
 
Nadhani ungekaa naye akuambie shemeji yako hasa ni yupi ili mwingine akitokea kafumaniwa sema ukweli mbele yao. Acha uoga mwanaume mpe ukweli au unahofia kukosa hivyo viofa vya bia na nyama choma unapewa?
 
Nadhani ungekaa naye akuambie shemeji yako hasa ni yupi ili mwingine akitokea kafumaniwa sema ukweli mbele yao. Acha uoga mwanaume mpe ukweli au unahofia kukosa hivyo viofa vya bia na nyama choma unapewa?

Hahahahahaha,ofa za bia dah!


Nadhani ungekaa naye akuambie shemeji yako hasa ni yupi ili mwingine akitokea kafumaniwa sema ukweli mbele yao. Acha uoga mwanaume mpe ukweli au unahofia kukosa hivyo viofa vya bia na nyama choma unapewa?
 
Acha ujinga, wewe ndo mwenye tatizo. Jiangalie kwanza. Inaonyesha wewe na rafiki yako mmekuwa mnafichana maovu yenu, sasa imevuka mipaka.

Ungekuwa unajiheshimu asingekufanyia hayo, na anajua hutafanya lolote maana ukimgeuka na wewe anakugeuka, natamani kuona mwisho wa hiyo movie
 
Kumbe wote mnachepuka harafu mnakuja kusemeleana humu, Duh! hatari ila acha sasa ulitegemea atajiteteaje ?
 
Tarime one,

Hahahahaaaa! Nacheka kwa masikitiko. So ukajiteteaje maskini kwa mkeo?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom