Tafadhari best usitake kunivunjia ndoa

Tafadhari best usitake kunivunjia ndoa

Tarime one

JF-Expert Member
Joined
Nov 12, 2013
Posts
2,246
Reaction score
1,742
Namwongelea na najua atajiskia vibaya but please kaa mbali na ndoa yangu usijekunivurugia kama ulivyoharibu ya kwako.

Najua tuna urafiki wa muda mrefu,siri zako nyingi nazijua nawe wazifahamu zangu, but this is too much, toka mkosane na MRS wako nyumba yako umeibadilisha gest,unabadili wadada kama shati, ila kuna huyu mmoja ambae umetutambulisha kwamba unataka kumwoa ni jambo jema labda utatulia ila.

Tatizo langu mimi na wewe ni lile la kila mdada anayekukuta nae wewe husingizia ni mtu wangu na shem akiniuliza huwa najitahidi kukufichia siri ila ulilofanya jana sikulipenda.

Mpenzi wako kakuta nywele za kike kitandani kwako anakuuliza unanisingizia kwamba mimi ndio nilikuwa hapo na mwanamke kweli!Na mbaya zaidi kayafikisha kwa mke wangu,tayari nina mgogoro hapa kwangu.Narudia kusema stay away na sitaki kutumika kukufichia madhambi yako,
 
Acha uoga ndugu....mwambie yeye, huku bado hakutoshi.
 
Acha uoga ndugu....mwambie yeye, huku bado hakutoshi.

Kuna njia nyingi za kufikisha ujumbe na jukwaa hili ni bora coz hatufahamiani na pia kuna ushauri wa ziada atapewa.
 
Narudia kusema stay away na sitaki kutumika kukufichia madhambi yako,wengine tunachepuka kwa akili si kijinga hivyo, ukimind poa but massage delivery.

Vyema ukamwambia face to face Then we na best wako wote ni sheeder.
 
Aisee chali we famba mpaka now ujpa vibao huku ukimpa makavu .... eti unabeba midhambi ya wenzio umekuwa Yesu wewe?.... mpe makavu umeonyesha udhaifu mkubwa sana..
 
Aisee chali we famba mpaka now ujpa vibao huku ukimpa makavu ....eti unabeba midhambi ya wenzio umekuwa Yesu wewe?....mpe makavu umeonyesha udhaifu mkubwa sana..

We miss chaga nitamtoa utumbo buree aisee! naijua limit ya hasira yangu huwa sivumilii kubishana.
 
Aisee chali we famba mpaka now ujpa vibao huku ukimpa makavu ....eti unabeba midhambi ya wenzio umekuwa Yesu wewe?....mpe makavu umeonyesha udhaifu mkubwa sana..

Yani kuna wanaume ni shida! naomba na mpinzan aje ajibu!

eti wanajuana madhambi!!!?
 
Nilidhani na wewe ni msafi, kumbe unachepukaga pia tena kwa kujisifia kwa akili. Basi ni sawa tu anavyokufanyia, kumbe ni waarabu wa pemba mnajuana kwa vilemba.

Acheni kabisa mambo ya udanganyifu kwenye mahusiano, tulieni siyo sifa. Ila nyani ukimchekea utayavuna mabua.
 
Tarime one

Wewe ni mwanaume au mwanamume?.... be a man na umwambie tena mbele ya mkeo.
 
Last edited by a moderator:
Hapo mwisho umesema unachepuka kwa akili sasa huoni akimwonyeshea mke wako hii thread bado unahatarisha ndoa.
 
Sometimes inabidi kubadilika hata kama ndo asili au tabia tuliyojizosha Boyz and girls kuwa na michepuko mingi unajipalilizia natatizo kede kede kwann usitafute msichana ambaye au mvulana anliyekidhi vigezo unavyovitaka? Then utulie nae.
 
Ungemwambia laivu yeye, kama umeanzia hapa, basi atakudharau sana na anaweza sasa akavuka na mpaka wa kukusaidia yale mambo fulani kwa shem.

Ulitakisha umpe makavu laivu, hapa umempa ya kisista duu.
 
Kwa ushauli wa bule kabisa kutana nae uso kwa uso na umwambie jinsi ulivyoghadhibishwa kwa kitendo hicho pia usikubali tena sio kwa huyo tu hata kwa mwengine kuficha maovu yake kwa mgongo wako .

embu fikiri huyo jamaa yako kama atamuoa huyo mwanamke unafikiri huyo shemeji yako atakuweka katika kundi gani? Jitambue ndugu acha kutumika katika mambo yasio na msingi mimi yangu hayo tu kijana.
 
Back
Top Bottom