TAI DUME
JF-Expert Member
- Feb 20, 2014
- 11,173
- 30,655
Wazee wenzangu wa kiumeni leo tutete yetu. Ujue kuna wakati unafika inabidi uchukue japo time kidogo kujithaminisha jinsi unavoishi ukilinganisha na umri. Me huwa nakereka sana sana mwanaume wa late 30s au early 40s anaishi kiajabu ajabu tu kama janki wa early 20s.
Yaani jitu zima linakaa kubishana au kujisifia idadi ya mademu aliowapitia over the wkend utazani ndio yupo kwenye balehe ya kwanza, Au unakuta janaume kubwa hilo lakini linashindana kukesha baa mpka kulala nje utafikiri fagio la chelewa. Bora hata mafagio ya chooni yana heshimika kuliko mwaume unaekesha baa tena kwa ushindani wa kijinga wa kuonyesha washkaji picha za mabaamedi uliotembea nao.
Sina ugomvi na pombe lakini kwa nini uendekeze mpaka unafkia hatua ya kuweka bondi ofer ya kiwanja! Mwanaume simamia mipango yako kikamilifu ukiamka asubui una hang over ya mafanikio sio ya mipombe ebo? Ujue hakuna ugonjwa mbaya mbaya kama wa kuregretia bata za ujanani ukubwani sio?
Yaani umeshakongoloka ndio unaanza kujipanga eti utengeneze maisha wakati huna nguvu, yah lazima magonjwa nyemelezi yote yakuandame. Hizi bata za kipuuzi kutaka sifa kwa watoto wa kike hazina mpango kwanza watoto wa kike wenyewe siku ukiona wanakushobokea ujue washakuona Lofa tu ----- mtozeni.
TENA HAPA NGOJA NIWA PESTIE ILE CONCEPT YA LIFE BEGIN AT 40s
Utasema tena nikifika miaka 40 nataka niwe na hiki na kile watoto wangu wasome international skul nk. Subiri uone miaka inavyoenda. Usishangae kufika 40 bado umeajiriwa kwa mtu na anakugombeza kwa nini mwanao anaumwa kila siku unachelewa kazini. Kazi nyingi. No bright future. No enjoyable present. Just existing and not living.
Hapo ndo unawaza kufuga ng'ombe wa maziwa kibamba kwenye kiwanja chako cha miguu 12 kwa 15! Wenzako wa umri wako hapo unasikia wameanzisha bness in Australia.
Wamenunua kiwanja Mbezi Beach kwa 300M! Wenzako in their 40s wanasaidia wasio na uwezo katika jamii wewe ndo kwanza ukipokea simu kutoka kijijini una-mute! Wenzako in their 40s wakisikia kuna ujenzi wa nyumba ya ibada wanachangia 5M kimyakimya.
Wewe ukitoa laki moja basi mpaka mtaa wa saba watakujua! Halafu unashangaa wanazidi kuinuliwa. Mwenye nacho ataongezewa au hujui? Na asiye nacho..... (Malizia) Suffer the pain of discipline now. Or else you will suffer the pain of REGRET.
Halafu ukianza kuregret ndo pressure zinakuja, stress, nk mwisho unawacha hata hao watoto in a far worse situation than your own lifetime.
Life Begins at 40 my friend.. How Old Are You?
NI HAYO TU KWA SASA, kwa ushauri zaidi inbox
Yaani jitu zima linakaa kubishana au kujisifia idadi ya mademu aliowapitia over the wkend utazani ndio yupo kwenye balehe ya kwanza, Au unakuta janaume kubwa hilo lakini linashindana kukesha baa mpka kulala nje utafikiri fagio la chelewa. Bora hata mafagio ya chooni yana heshimika kuliko mwaume unaekesha baa tena kwa ushindani wa kijinga wa kuonyesha washkaji picha za mabaamedi uliotembea nao.
Sina ugomvi na pombe lakini kwa nini uendekeze mpaka unafkia hatua ya kuweka bondi ofer ya kiwanja! Mwanaume simamia mipango yako kikamilifu ukiamka asubui una hang over ya mafanikio sio ya mipombe ebo? Ujue hakuna ugonjwa mbaya mbaya kama wa kuregretia bata za ujanani ukubwani sio?
Yaani umeshakongoloka ndio unaanza kujipanga eti utengeneze maisha wakati huna nguvu, yah lazima magonjwa nyemelezi yote yakuandame. Hizi bata za kipuuzi kutaka sifa kwa watoto wa kike hazina mpango kwanza watoto wa kike wenyewe siku ukiona wanakushobokea ujue washakuona Lofa tu ----- mtozeni.
TENA HAPA NGOJA NIWA PESTIE ILE CONCEPT YA LIFE BEGIN AT 40s
Utasema tena nikifika miaka 40 nataka niwe na hiki na kile watoto wangu wasome international skul nk. Subiri uone miaka inavyoenda. Usishangae kufika 40 bado umeajiriwa kwa mtu na anakugombeza kwa nini mwanao anaumwa kila siku unachelewa kazini. Kazi nyingi. No bright future. No enjoyable present. Just existing and not living.
Hapo ndo unawaza kufuga ng'ombe wa maziwa kibamba kwenye kiwanja chako cha miguu 12 kwa 15! Wenzako wa umri wako hapo unasikia wameanzisha bness in Australia.
Wamenunua kiwanja Mbezi Beach kwa 300M! Wenzako in their 40s wanasaidia wasio na uwezo katika jamii wewe ndo kwanza ukipokea simu kutoka kijijini una-mute! Wenzako in their 40s wakisikia kuna ujenzi wa nyumba ya ibada wanachangia 5M kimyakimya.
Wewe ukitoa laki moja basi mpaka mtaa wa saba watakujua! Halafu unashangaa wanazidi kuinuliwa. Mwenye nacho ataongezewa au hujui? Na asiye nacho..... (Malizia) Suffer the pain of discipline now. Or else you will suffer the pain of REGRET.
Halafu ukianza kuregret ndo pressure zinakuja, stress, nk mwisho unawacha hata hao watoto in a far worse situation than your own lifetime.
Life Begins at 40 my friend.. How Old Are You?
NI HAYO TU KWA SASA, kwa ushauri zaidi inbox