inspectorbenja
JF-Expert Member
- Oct 14, 2012
- 635
- 705
Ndugu zangu,kama unajua kitu toa msaada wa kielimu kwa anayeomba msaada.Kukaa kimya kwako mwenzakl anapata hasara kubwa sana wakati ungemuelimisha angesaidika na Mungu wa mbinguni angekubariki.
Nina Suzuki Swift 2008,engine yake ni K12B,gearbox yake ni cvt,haina dip stick.
Sasa mara ya kwanza nimeuliza sana humu naweka transmission gani maana mi nililiwa sijui mambo haya ya cvt.Nikaweka atf ya suzuki badala ya cvy mwaka huu cvt belt imekatila nankusagika sagika.Sasa nimeorder used.
Kuanzia hapa nataka niwe makini sana.Manual ya gari online inanimislead.
Utafiti wangu unaonesha hizi gearbox zinatengenezwa na Jatco.
Sasa kimbembe maelezo yanakuwa mengi sana
1.Machaposho mengine yanasema weka Atlantis ni universal na haina shida.
2.Machapisho mengineyanafai kwa gari hii niweke Suzuki CVT Green 2
3.Machapisho mengine yanaelekeza niweke NS2 ambayo pia huwa inatumika kwenye nissan.
Kwa watalaam wa haya mambo tafadhali naomba usipite bila kucoment.
Naombeni kuelimishwa.
Nina Suzuki Swift 2008,engine yake ni K12B,gearbox yake ni cvt,haina dip stick.
Sasa mara ya kwanza nimeuliza sana humu naweka transmission gani maana mi nililiwa sijui mambo haya ya cvt.Nikaweka atf ya suzuki badala ya cvy mwaka huu cvt belt imekatila nankusagika sagika.Sasa nimeorder used.
Kuanzia hapa nataka niwe makini sana.Manual ya gari online inanimislead.
Utafiti wangu unaonesha hizi gearbox zinatengenezwa na Jatco.
Sasa kimbembe maelezo yanakuwa mengi sana
1.Machaposho mengine yanasema weka Atlantis ni universal na haina shida.
2.Machapisho mengineyanafai kwa gari hii niweke Suzuki CVT Green 2
3.Machapisho mengine yanaelekeza niweke NS2 ambayo pia huwa inatumika kwenye nissan.
Kwa watalaam wa haya mambo tafadhali naomba usipite bila kucoment.
Naombeni kuelimishwa.