colin_morgan
JF-Expert Member
- Jun 8, 2015
- 2,443
- 2,894
- Thread starter
- #21
Chuo gani ....kinatoa community health?Community Health haina deal kabisa ingawa angeweza pata. Siamini kama anapenda afya kutoka moyoni. Atakuwa anapenda kisa anasikia kuna nafasi nzuri ya kupata ajira. Nashauri jua anaelekea kuweza nini then mpeleke chuo chenye tija. Ukishindwa kupata chuo chukua ADA mwanzishie BIASHARA. Najua inauma lakini ni maradufu kuliko kwenda kozi za kichawi kujitia umasikini.
Sent using Jamii Forums mobile app