Tafadhali, nahitaji namba ya Bw. Ramadhani Dau mkuu wa NSSF

Tafadhali, nahitaji namba ya Bw. Ramadhani Dau mkuu wa NSSF

Marnah

JF-Expert Member
Joined
May 3, 2013
Posts
1,124
Reaction score
303
wakuu samahanini kwa usumbufu,kwa yoyote yule mwenye namba namba ya BW RAMADHANI DAU MKUU WA NSSF anipatie tafadhali,AHSANTENI
 
Hawa jamaa Feki sana, mbona majina menejimenti kwenye website Yao yote yako nusunusu? Eti Y. Nguvukazi, K. Maliwa! Kwanini hawaweki majina kamili?!!!?
 
Mmmh! mbona mnatutisha sasa. Kunani?
 
kwa yoyote mwenye namba yake ani pm tafadhali
 
Hawa jamaa Feki sana, mbona majina menejimenti kwenye website Yao yote yako nusunusu? Eti Y. Nguvukazi, K. Maliwa! Kwanini hawaweki majina kamili?!!!?

hiyu y yahaya na hiyo k ni kharim vp unaswali jingine
 
Hawa jamaa Feki sana, mbona majina menejimenti kwenye website Yao yote yako nusunusu? Eti Y. Nguvukazi, K. Maliwa! Kwanini hawaweki majina kamili?!!!?

Hicho unachotaka wewe ni muongozo au ni sheria? Mbona watu tunakuwa na chokochoko zisizo na tija? Ukishajua majina kamili halafu?
 
Moderators wanafuta comment kwani ni uongo? mbona taasisi zingine zisilalamikiwe?
 
mii nina ya yule bint yake wa Liverpool Univ, na yule mtoto wake wa Dubai pia, zitafaa!
 
Back
Top Bottom