johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,968
- 141,977
Naamini umeona taarifa mbalimbali mitandaoni kuhusu kubadilika utaratibu wa Bima za Taifa za Afya.
Tunaomba ufafanuzi wa Wizara tafadhali kwa sababu mjadala unaoendelea mitandaoni hauna afya kwa Taifa.
Nawasilisha.
Tunaomba ufafanuzi wa Wizara tafadhali kwa sababu mjadala unaoendelea mitandaoni hauna afya kwa Taifa.
Nawasilisha.