Tafadhali anae fahamu kuhusu EDMARK

Tafadhali anae fahamu kuhusu EDMARK

Bugududu Sududu

JF-Expert Member
Joined
Apr 19, 2014
Posts
600
Reaction score
700
Habari zenu waungwana,Siku ya jana nikiwa na rafiki yangu kwenye matembezi alinishawishi tukaudhurie semina katika moja ya makampuni ya kusambaza dawa kama jinsi alivyo nieleza,cha ajabu mafunzo yaliyokuwa yanaendelea kwenye semina hiyo hayanatofauti na baadhi ya mada ambazo nimeziona hapa JF kuhusu pesa za mtandao kama forex,trevo n.k.Tafadhali msaada kwa anayejua hili jambo ili kuepusha majuto.
 
Kama hiyo edmark inaendana na makampuni uliyoyataja basi achana nayo.
 
Biashara za online zipo na zina faida ila si kwa mteremko, inafaa ujipe muda wa kusoma na kuelewa.
 
Back
Top Bottom