TACAIDS Mtahamia TACEBOLA sasa au?

TACAIDS Mtahamia TACEBOLA sasa au?

Kijakazi

Platinum Member
Joined
Jun 26, 2007
Posts
9,292
Reaction score
14,960
Mambo ya UKIMWI yameshapitwa na wakati, sasa hivi EBOLA ndio mpango Mzima! Hivyo mambo ya UKIMWI muda wake umeshakwisha na watu wa TACAIDS ambao wakati wapeak ya UKIMWI walikuwa wanakula mkwanja wa nguvu sasa hivi mambo yao sio mazuri sana, sasa sijui watahamia kwenye EBOLA, halafu mtabadilisha jina kuwa TACEBOLA ama?
 
Kwanza Ebola ipate jina la kiswahili mambo mengine baadae
 
Nisikia hata kipimo cha Ebola hatuna, samples zinapelekwa Nairobi kwa mujibu wa mkuu wa mkoa wa dar!!!!
 
mimi nina jamaa yangu anafanya kazi hapo TACAIDS, kwa hiyo mjomba nakuomba usije ukaleta noma.
 
Back
Top Bottom