Tabora yangu Tabora


Maendeleo ya sehemu huchangiwa na wenyeji sasa ndugu zangu Wanyamwezi mmekalia umbea na starehe kazi hamtaki kufanya mtapataje maendeleo?
 
tabora haiwezi endelea kama wanatabora wenyewe hawtabasdili utamaduni wao, ni bahati mbaya sana kwamba wanatabora wenyewe hawatambui kama wako nyuma kumaendeleo; nimeishi tabora kwa mda mrefu sana, pamoja na ukarimu wa wenyeji lakini its not a place to stay
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…