Kaka mwisho
JF-Expert Member
- Dec 19, 2011
- 402
- 167
Tabora ni mkoa pekee ambao hakuna mbunge wa upinzani hata mmoja aliyeshinda kiti cha ubunge. Majimbo ya Tabora yote yapo chini ya chama dume(CCM). Wabunge maarufu wa mkoa wa Tabora ni Prof. Kapuya, Sitta, Rage na Kigwangala. JE NI KWELI VYAMA VYA UPINZANI HAVINA MVUTO KWA WANATABORA? TABORA INALETA PICHA GANI KATIKA SIASA ZA TANZANIA?