Drama queen
Senior Member
- Apr 22, 2014
- 157
- 289
Nakuja Tabora kikazi hoteli gani nzuri 5* sehemu nzuri za kula na clubs nzuri
zote ziwe na hadhi please sio za elfu 30 au 15.
Thank you
zote ziwe na hadhi please sio za elfu 30 au 15.
Thank you
Ivu acha hizo mamyPole mama, wana JF wote tunaishi dar huko hatupajui teh
Ha ha ha ntakusindikizaIvu acha hizo mamy
Niulizie basi
Cjawahi kwenda Tbr..hlf wik nzima kwa mlevi km mm ndefu sana ujue
Nakuja Tabora kikazi hoteli gani nzuri 5* sehemu nzuri za kula na clubs nzuri
zote ziwe na hadhi please sio za elfu 30 au 15.
Thank you
Nakuja Tabora kikazi hoteli gani nzuri 5* sehemu nzuri za kula na clubs nzuri
zote ziwe na hadhi please sio za elfu 30 au 15.
Thank you
Labda umtafute Ismail Aden Rage anajua vizuri kwa sababu yeye ndie billionea wa Tabora!