mi kaka yako? unachukua laki hutaki?dah kaka hunipendi kwel yani elfu 20 ata mafta ya gar langu haitosh
Picha hataweka maana -ina scratch kibao, imepauka na ameiangusha mara tatuSamrich; mimi nitakupa hizo Tshs 300,000/=; lakini ebu ipige picha uibandike hapa niione, kwani Biashara ni Matangazo Bwana!!!!
Picha hataweka maana -ina scratch kibao, imepauka na ameiangusha mara tatu
jaman ngoja nafanya taratibu niweke picha hapa natmia cmu,wabongo siasa nyng subir uone mwenyewe
kwa laki jaman sitauza waugwana wangu.
Inasuport wifi na ukiwa na roter mambo safi
KARIBUNI WATEJA.
Tablet ni nini?
Tablet ni nini?