Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,716
table manners ugenini tu...watu wakiwa majumbani kwao ni kupakua chakula..kurudi kwenye TV...hakunaga cha manners...
nimekumis lazy mate
table manners ugenini tu...watu wakiwa majumbani kwao ni kupakua chakula..kurudi kwenye TV...hakunaga cha manners...
usilalamikie chakula mbele ya mpishi..mfano chakula hakijaiva, chakula kina chumvi, chakula kina mafuta mengi n.k kufanya hivi kutamkatisha tamaa mpishi pengine akashindwa kula..
Hapo kwenye kiganja kujaa msosi huwa panashangaza kabisa.
Ukila, usijipakaze chakula kwenye lips, na ikitokea, jifute mara moja. Hii inaweza kutia kinyaa kwa wanaokutazama.
Naona sheria mama ya kiafrika mnaisahau mkuu! inasema hivi " usicheze mbali unga robo"
15. Kama utakuwa ukitumia uma na kisu kwa wakati mmoja uma hushikwa na mkono wa kushoto na kisu kiwe mkono wa kulia
16. Angalau mda wa dak 25-30 upite katika kutofautisha aina za vyakula ambavyo huliwa/kunywa vikiwa aidha vya moto au baridi.
My wife was like u, ila nimeshambadili
Imagine unakula hivo utawezaje kuwakanya wanao