kijani11
JF-Expert Member
- Jan 19, 2014
- 8,348
- 9,082
Kwa hiyo namba 2 ukila ugali inakuaje?1)Ukikohoa unaholea pembeni na unaweka mkono
2)Ukila ni vidole tu vinachafuka katikati na kijanja safiii
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
Kwa hiyo namba 2 ukila ugali inakuaje?1)Ukikohoa unaholea pembeni na unaweka mkono
2)Ukila ni vidole tu vinachafuka katikati na kijanja safiii
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
ukichokonoa meno mdomo. ukiwa wazi;ziba mdomo kwa mkono usikenue utawatia kinyaa wengine kuyaona meno yako.
ukipaliwa sitisha kula kwanza mpaka kipalio kipoe.
usilalamikie chakula mbele ya mpishi..mfano chakula hakijaiva, chakula kina chumvi, chakula kina mafuta mengi n.k kufanya hivi kutamkatisha tamaa mpishi pengine akashindwa kula..
Koma!!!
Ila kwa sababu mtani usikome.
Table manners zetu zinaendana na mazingira yetu, kutupika kwa knife and fork ni kutuchosha tu.
Kuna watu wanatafuna kama mchwa, inakera sana.
Hizo za kizungu banaa, toa za kiafrika mfano:
1. Usile bila kunawa mikono
2. Tonge la ugali marufuku kutengeneza semi-tela (dabo tonge)
3. Ukisha ng'ata ugali marufuku kuurudisha tena kwenye bakuli ya mboga
4. Sahani ya baba/kiti cha baba hakitumiwi na mwingine hata iweje labda awe ametangulia
5. Kujamba, kutoa kasoro chakula mkiwa mezani mwiko.
Sasa nyie mnaleta stori za wazungu, utakulaje mrenda na uma, kande kwa kuunga mayonanaiza
15. Kama utakuwa ukitumia uma na kisu kwa wakati mmoja uma hushikwa na mkono wa kushoto na kisu kiwe mkono wa kulia
16. Angalau mda wa dak 25-30 upite katika kutofautisha aina za vyakula ambavyo huliwa/kunywa vikiwa aidha vya moto au baridi.
I hate uma na kisu
Hata utamu wa chakula unapungua
ukichokonoa meno mdomo. ukiwa wazi;ziba mdomo kwa mkono usikenue utawatia kinyaa wengine kuyaona meno yako.
ukipaliwa sitisha kula kwanza mpaka kipalio kipoe.
usilalamikie chakula mbele ya mpishi..mfano chakula hakijaiva, chakula kina chumvi, chakula kina mafuta mengi n.k kufanya hivi kutamkatisha tamaa mpishi pengine akashindwa kula..
Hapo kwenye kujilamba vidole kwa kweli nashindwa kuelezea, ukiangalia kwa jicho la tatu ni uchafu ambao hauelezekiaseee mm nachukia sana mtu kula kama mbwa na kujilamba hadi vidole tena kama mwanaume asee ndo nakushusha thaman kabsa...mshua wang yeye kula huku unamwangalia usoni wakati uko mezani anakurushia kijiko.
Kuna wakati mazingira hayaruhusu mkuuI hate uma na kisu
Hata utamu wa chakula unapungua
Mie kuchovya mkate kwenye chai, kutia maandazi kwenye kikombe cha chai au kuchovya biskuti kwenye chai siachiii! Hata msemeje! ILA nikienda kwa watu ntaacha, ofcn na home siachi!
ILA Kuna muungwana alinitembelea sijui bia zilizidi? Kumaliza kula akasukutua maji ya bomba kwenye sinki la kunawia mikono na kutema hapo hapo. Kidogo nizimie. Baada ya mlo usafi WA vim ulifuatia.
cc The Boss
Kuna wakati mazingira hayaruhusu mkuu
Inabidi ukubali matokeo ule kwa nyenzo
Vinginevyo utapata kipindu pindu
Umeona mkuuNi kweli
MaZingira yasiporuhusu natumia kwa shingo upande, ila ndo hata si-enjoy
1)Ukikohoa unaholea pembeni na unaweka mkono
2)Ukila ni vidole tu vinachafuka katikati na kijanja safiii
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
Vipi mke wangu