ukichokonoa meno mdomo. ukiwa wazi;ziba mdomo kwa mkono usikenue utawatia kinyaa wengine kuyaona meno yako.
ukipaliwa sitisha kula kwanza mpaka kipalio kipoe.
usilalamikie chakula mbele ya mpishi..mfano chakula hakijaiva, chakula kina chumvi, chakula kina mafuta mengi n.k kufanya hivi kutamkatisha tamaa mpishi pengine akashindwa kula..
hahahahahaa Angelicious upo dear nimekimisijeee
Nipo mamy za siku mbili tatu? Jamani Miss you too
1. Ukitafuna chakula jitahidi usifanye ile - che che che che/cha cha cha cha
2. Ukiwa unakula na wenzio jitahidi kujizuia - ghaaaa (mbweo/mbwewe) sijui
3. Muda wa kula jitahidi usiwe mtu wa kuonge ongea - mvua tafadhali/mimate inaruka
4. Jitahidi kutokuenda haja ndogo/kubwa kati kati ya chakula yaani unaacha msosi katikati kisha unarudi tena
5. Usipende kuwaangalia wenzio usoni muda wa kula wewe macho yako elekeza kwenye chakula, sababu utaanza kumjaji mwenzio sahani yake imejaa, mara ameweka nyama nyingi nk
15. Kama utakuwa ukitumia uma na kisu kwa wakati mmoja uma hushikwa na mkono wa kushoto na kisu kiwe mkono wa kulia
16. Angalau mda wa dak 25-30 upite katika kutofautisha aina za vyakula ambavyo huliwa/kunywa vikiwa aidha vya moto au baridi.
hapa ni ngumu kwa watani wangu wasukuma wako ovyo sana mezani
Hivi ni chache nazovikumbuka tuongeze mingine
1. Tafuna ukiwa umefunga mdomo
2. Usiongee ukiwa na chakula mdomoni
3. Usipitishe mkono/mikono juu ya chakula cha mwingine.
4. Usiongeze chumvi au pilipili kabla hujaonja chakula
5. Unapokunywa supu kijiko cha supu hakitakiwi kuingizwa mdomoni, supu hunywewa toka kona ya kijiko.
===================================================================================
7.
13. Usisukutue maji mdomoni kabla hujameza
14. usichovye mkate kwenye chai unless una miaka minne
aseee mm nachukia sana mtu kula kama mbwa na kujilamba hadi vidole tena kama mwanaume asee ndo nakushusha thaman kabsa...mshua wang yeye kula huku unamwangalia usoni wakati uko mezani anakurushia kijiko.
Nawa mikono hata kama utatumia kijiko au uma.
Kama hugusi chakula unanawa ili iweje?
15. Kama utakuwa ukitumia uma na kisu kwa wakati mmoja uma hushikwa na mkono wa kushoto na kisu kiwe mkono wa kulia
16. Angalau mda wa dak 25-30 upite katika kutofautisha aina za vyakula ambavyo huliwa/kunywa vikiwa aidha vya moto au baridi.