Tabiri hapa Nchi itakayotwaa kombe la Dunia 2014

Tabiri hapa Nchi itakayotwaa kombe la Dunia 2014

Mandla Jr.

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2013
Posts
3,098
Reaction score
631
Kwa kifupi zimebaki timu nane ili tumjue bingwa mpya wa Kombe la Dunia baada ya Spain kutupwa
nje ya mashindano haya....Nani atambeba mwali huko Brazil???

N:B CHAGUA TIMU MOJA TU


Binafsi nafasi ya Ubingwa wa dunia nawapa...........COLOMBIA!!

MATOKEO: Mpaka leo 03/07/2014 German wameongoza kwa kutajwa sana.
 
Kwa kifupi zimebaki timu nane ili tumjue bingwa mpya wa Kombe la Dunia baada ya Spain kutupwa
nje ya mashindano haya....Nani atambeba mwali huko Brazil???

N:B CHAGUA TIMU MOJA TU


Binafsi nafasi ya Ubingwa wa dunia nawapa...........COLOMBIA!!

Timu zote zilizotolewa znatumia jina 1 pekee la spain?N.B,makundi yalikuwa 8 na kila kundi lilikuwa na timu 4.spain,italy,england,c'roon,ivory coast,ghana,portugal,russia na timu nyingine nying kufanya jumla timu 16 zilitolewa na timu 16 kufuzu.Baada ya mech za mtoano sasa tumebakiwa na timu 8.
 
Kesho kwa wale timu zao zitakuwa zimetoka...wataruhusiwa tena kuchagua.
 
Back
Top Bottom