D DENAMWE JF-Expert Member Dec 29, 2019 807 805 Feb 20, 2023 #1 Mimi ni tabibu (Clinical Officer) mwanamke. Nipo Mbinga Ruvuma. Nahitaji wa kubadilisha naye vituo. Awe wilaya yoyote ya Mkoa wa Kagera, wilaya ya Bukombe au Chato mkoa wa Geita au wilaya ya Kahama mkoa wa Shinyanga.
Mimi ni tabibu (Clinical Officer) mwanamke. Nipo Mbinga Ruvuma. Nahitaji wa kubadilisha naye vituo. Awe wilaya yoyote ya Mkoa wa Kagera, wilaya ya Bukombe au Chato mkoa wa Geita au wilaya ya Kahama mkoa wa Shinyanga.
S Statistics JF-Expert Member Sep 22, 2013 3,182 6,535 Feb 20, 2023 #2 Mbinga to kagera lazma unapga ya kujikimu karibia buku 4 nauli ya nenda rudi na wanao. Kakonko hupataki?
Mbinga to kagera lazma unapga ya kujikimu karibia buku 4 nauli ya nenda rudi na wanao. Kakonko hupataki?
D DENAMWE JF-Expert Member Dec 29, 2019 807 805 Feb 20, 2023 Thread starter #3 Statistics said: Mbinga to kagera lazma unapga ya kujikimu karibia buku 4 nauli ya nenda rudi na wanao. Kakonko hupataki? Click to expand... Naomba nishauriane na familia yangu.
Statistics said: Mbinga to kagera lazma unapga ya kujikimu karibia buku 4 nauli ya nenda rudi na wanao. Kakonko hupataki? Click to expand... Naomba nishauriane na familia yangu.