BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,772
- 23,166
Na kero nyingine kwenye mizunguko mijitu haijui kwamba umapaswa kumpisha anaetoka kulia kwako lakini utakuta mtu amekomaa tu anjiona yuko barabara kuu haswa kilwa road. Inabidi warudishe yale maelezo yaliokuwepo zamani kwenye roun about ambayo yalikuwa yameandikwa "give way to the right "
Kilwa road hawajazoea round-about bana
💃💃💃💃💃💃💃
Dah! True story, mijinga yote hii ipo.Ha ha haaaa kaka leo umeamua kutoa somo kabisa!!!!!!!
1. Kuna wanaoendesha wanapiga story mkono mpaka anautoa nje we uko nyuma ya gari yake unadhani anakuashiria kumbe mastory tu basi una slow down mpaka unamfikia unauliza vipi kaka??????? Anakujibu kuhusu nini????????
2. Gari ina stika ya "L" we unaendesha kwa tahadhari ili umpe huyu mgeni barabarani nafasi ya kujifunza kumbe jitu zoefu halijatoa stika husika linakushambulia na maneno "weeee vipi unaendeshaje bana kama mgeni barabarani kaa kando!!!!...kumbe lenyewe ndio lina mislead other drivers!!!!!
3. Mko kwenye foleni gari ya mbele inazingua badala ya kuwasha hazard au atoke kuweka triangles anakaa na nyie mnasubiri mpaka mkija gundua unauliza mzee vipi mbona hutuashirii chochote jibu lake; kama una haraka pita juu!!!!!
MANI
Ha ha haaaa kaka leo umeamua kutoa somo kabisa!!!!!!!
1. Kuna wanaoendesha wanapiga story mkono mpaka anautoa nje we uko nyuma ya gari yake unadhani anakuashiria kumbe mastory tu basi una slow down mpaka unamfikia unauliza vipi kaka??????? Anakujibu kuhusu nini????????
2. Gari ina stika ya "L" we unaendesha kwa tahadhari ili umpe huyu mgeni barabarani nafasi ya kujifunza kumbe jitu zoefu halijatoa stika husika linakushambulia na maneno "weeee vipi unaendeshaje bana kama mgeni barabarani kaa kando!!!!...kumbe lenyewe ndio lina mislead other drivers!!!!!
3. Mko kwenye foleni gari ya mbele inazingua badala ya kuwasha hazard au atoke kuweka triangles anakaa na nyie mnasubiri mpaka mkija gundua unauliza mzee vipi mbona hutuashirii chochote jibu lake; kama una haraka pita juu!!!!!
MANI
si uni-overtake mkuu....sio kila mtu ataendesha 80kph mjini!!
kweli barabarani kero ni nyingi na usipokuwa na uvumilivu unaweza korofishana na watu siku nzima,yataka moyo sana kuendesha gari barabarani hasa kwa jiji letu la dar,pia ikumbukwe kuwa watu tunatofautiana kiakili na kimtazamo
Kuna wengine ukishaanza tu kumu-ovateki naye anaongeza mwendo na kukuharibia timing, wanakera sana...
umesahau zero distance, kutegeana bumper, kupigana pini halafu mtu anaondoka eneo la tukio sjui kazama nyumba ndogo masaa kibao, wenye bodaboda hawaangalii taa mwisho unaishia kumpanda, na utitiri mwingine!
Wanajeshi wa JWTZ hasa wanaoendesha yale magari yao makubwa ni miongoni mwa vinara wa hii tabia ya kulazimisha mtu aongeze mwendo,, nasikia ukiendelea kusuasua huwa wanaweza kushuka na kukulazimisha kusimama kisha wanakushusia kichapo...
kaka kama we ni mgeni dar unakuwa kama 'learner' hutaweza kuendesha!!!
Nchi ikishakuwa na fsadi hayo yote yatatokea. Hata uchomekea au kutanua ni dalili za ufisadi yaani uwahi wewe tu na kuacha wengine kwenye foleni. Ukiwa waziri unataka upate pekee yako,ukiwa rais kadhalika.
Kwani mkuu hujawaona wakiwa kwenye kiti cha udereva hao madada.
Kuna tabia zinanikera sana hasa kwa madereva wa DSM...na hapa sizungumzii daladala nazungumzia madereva wa gari zote ndogo kuanzia BABY WALKERS mpaka VX V8......
1.kuwasha HAZARD [double indicator] wanapoenda moja kwa moja[straight] kwenye crossroads
Kwingine kote nimekuelewa ispokuwa hiyo namba 1 tu, mj nimefundishwa driving school, na naona hiyo ipo sahihi, sasa sijui imekuwaje kero kwako.
Sent from my iPhone using JamiiForums app
Na viti vimesogezwa mpaka usukani upo kwenye matiti.
Kuna wengine ukishaanza tu kumu-ovateki naye anaongeza mwendo na kukuharibia timing, wanakera sana...