Tabia za wazungu

Wanakugonga nini,mbona umekuja kwa jazba? Mimi nimesoma nao na kuishi nao na kula bata nao,ndio maana nikawaongelea. Wewe uliyeolewa na kutekwa na hao wachafu unafanya nini?

We dada mwajuma nyodo za nini?
We mgogo kinuka mkojo ule bata na Wazungu!?
Au una mnaanisha wale jamaa wa pale tegeta?
Wake Wanaitwa Albino! Bangi mbaya mkuu
 
Wanakugonga nini,mbona umekuja kwa jazba? Mimi nimesoma nao na kuishi nao na kula bata nao,ndio maana nikawaongelea. Wewe uliyeolewa na kutekwa na hao wachafu unafanya nini?

Mparoko wa kigogo unajiita Half London!
Si ndio nyie mnaoshkishwa ukuta na Mr John Halafu jamaa akimaliza Kukuhemea kisogoni Anakusamehe na dhambi zako!
Mtoto najisi kweli wewe!
Unawasifu wazungu km wamekukuna nyungunyungu!
Dah!
Unaleta aibu kwenye Jamii ya wabongo!
Nikikujua lzm Nikufikishe kwa balozi wetu akuogeshe na maji ya maharage! Naona una janaba la mzungu mchungaji!
 
Last edited by a moderator:

Mkuu hapo kusema kwamba wairish wako poa ckubaliani na ww. Wengi wao ni wanafki na wabinafsi.
 

Hizo movies bwana.....
 
Mkuu hapo kusema kwamba wairish wako poa ckubaliani na ww. Wengi wao ni wanafki na wabinafsi.

Irish ni vibaka wengi mno.
Na wengi wao ni gypsies!
Sijui km unaelewa maana yake.

Wanakunya ovyo km wakazi wa Gongo la mboto kina Remote
 
Last edited by a moderator:
Sifa za Kijinga!!
 
Daaah hiyo ya kutumia toilet paper ni kweli kabisa. Mi siwaelewagi kwanini hawapendi kutumia maji.
 
Onyesha niwapi nimekiandika hicho ulichokisema?


Uliandika yafuatayo:

Mzungu wa kumwamini ni alie kufa tu basi.

Huu utuwa wa fikra hauta kwisha kwako ndugu, hivi ili umsifie mzungu ni lazima umtoe kasoro mwaafrika mwenzako??

Umebeba mzigo mzito sana ndani ya ubongo wako kwa utukuza uzungu na kuubeza uafrika wa baba, mama,bibi na babu zako.

Sifa kuu ya binadamu ni kukosa ukamilifu ndiyo maana akaitwa binadamu wakubali waafrika wenzako japo kwa hayo mapungufu yao maana ukiyajua mapungufu ya wazungu utajutia hapa hiki ulichokiandika hapa.
 
walaahi mimi siwajui wazungu hivi rangi yao pink au kama ya nguruwe?
 

Mmmmmh!
 
Somo linakuwa gumu kuelewa?
Kwenye hicho nilichokiandika nataka unioneshe neno "siwakubali"

Unaweza kutomwamini mtu lakini ukamkubali? Au unatofautishaje hayo maneno mawili?
 
Unaweza kutomwamini mtu lakini ukamkubali? Au unatofautishaje hayo maneno mawili?

mkuu naona hapa unachanganya mambo.

Naomba kujua maana ya neno "kukubali" kama unavyolitumia katika sentinsi zako toka mwanzo.

Maana haueleweki unaongelea nini hapa umekomalia kuwakubali kuwakubali tu elezea sasa nijue hiyo kuwakubali inamaana gani.
 

Narudisha tena kile ulichoandika. Soma sentensi nilizoweka rangi nyekundu:


Mzungu wa kumwamini ni alie kufa tu basi.

Huu utuwa wa fikra hauta kwisha kwako ndugu, hivi ili umsifie mzungu ni lazima umtoe kasoro mwaafrika mwenzako??

Umebeba mzigo mzito sana ndani ya ubongo wako kwa utukuza uzungu na kuubeza uafrika wa baba, mama,bibi na babu zako.

Sifa kuu ya binadamu ni kukosa ukamilifu ndiyo maana akaitwa binadamu wakubali waafrika wenzako japo kwa hayo mapungufu yao maana ukiyajua mapungufu ya wazungu utajutia hapa hiki ulichokiandika hapa.
 

Wanaoishi Scandinavia utawajua tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…