wanafunz wa vyuo au umri tu ndio sababu?Aisee hawa watoto wa chuo tabia zao zinafafana nchi nzima ....
Tabia zao ni common kwa wote.
1. Wanatembea wakiwa wamevaa earphone mda wote.
2. Wakizingumza lazima wachanganye kiingereza na kiswahili, hadi wanaume kuna maneno ya kipuuzi utakuta wanayatumia kama , "oooh my Gash".
3.Kuzungumza kwa kupiga kelele, yaani ukiwa nao shehemu za Public utachoka , usiombe iwe kwenye daladala, na story wanazopiga ni za realationship na matukio Birthday.
4. Ole wako usijikute umepanga nao nyumba moja, nyumba ilichukuliwa na mtu mmoja ila utashangaa kijiji kinahamia hapo!..Ukumbi wa birthday hapo hapo !Disco na kila kitu hapo hapo .
5. Wakitembea na jinsia mbili tofauti utachoka, mara washikane viuno , mikono , wapigane mabusu yanii ni karahaa tupu.
Mambo ni mengi kwa hawa watoto..sijui wenzangu unapata karaha hiyo hiyo.
wengi ni watoto mkuu na ukiona hvy ujue ni mwaka wa kwanza na wa pili ila wakubwa zao mwaka wa tatu tunajitambua sana na ukiona 3rd year yuko vile ujue ana matatizo ya asili au makinikia na hapo alipo ana disqualify za ujazo wa kutoshaAisee hawa watoto wa chuo tabia zao zinafafana nchi nzima ....
Tabia zao ni common kwa wote.
1. Wanatembea wakiwa wamevaa earphone mda wote.
2. Wakizingumza lazima wachanganye kiingereza na kiswahili, hadi wanaume kuna maneno ya kipuuzi utakuta wanayatumia kama , "oooh my Gash".
3.Kuzungumza kwa kupiga kelele, yaani ukiwa nao shehemu za Public utachoka , usiombe iwe kwenye daladala, na story wanazopiga ni za realationship na matukio Birthday.
4. Ole wako usijikute umepanga nao nyumba moja, nyumba ilichukuliwa na mtu mmoja ila utashangaa kijiji kinahamia hapo!..Ukumbi wa birthday hapo hapo !Disco na kila kitu hapo hapo .
5. Wakitembea na jinsia mbili tofauti utachoka, mara washikane viuno , mikono , wapigane mabusu yanii ni karahaa tupu.
Mambo ni mengi kwa hawa watoto..sijui wenzangu unapata karaha hiyo hiyo.
Hili la wadada wasio na makuu Lina ukweli ndani yake,haswa katika taasisi za umma.Ulimbukeni wa vijana tu..wengi wanaopata fursa za kufika chuo ni wagonga ulimbo..hivyo ndoto zao hutimia wakiwa vyuoni..sasa wanataka kujitofautisha na jamii ili wapate kuonekana kama wao ndio wasomi zaidi.Halafu unakuta mtu kiingereza kiiingi halafu anasomea degree mbuzi haina hata tija...wale wadada wasio na makuu..wenye sura za kawaida wasiorubunika unakuta wanasoma kozi ngumu ngumu zenye tija..utashangaa ukienda TRA ni nadra kuwakuta wadada wazuri wapo vitengo kwa sababu walitaka wasome kozi nyepesi vyuoni ili wapate muda mwingi wakutafuna bata maji pamoja na bata mzinga.
Kutudharau tulioishia Std 7...
ukipita pale darajani njia panda ya UDsm utasema kuna Club imefunguliwa maeneo yale, wanafunzi walivovaa malaya sio malaya,makahaba sio makahaba... nadhani kuna haja ya wao kujirekebisha.
sanaaInakera sana kwa wasomi wetu kuvaa nusu uchi.
unaanzia wapi kuwarekebisha..... ile lifestyle yao haiepukikiKutudharau tulioishia Std 7...
ukipita pale darajani njia panda ya UDsm utasema kuna Club imefunguliwa maeneo yale, wanafunzi walivovaa malaya sio malaya,makahaba sio makahaba... nadhani kuna haja ya wao kujirekebisha.
ndo mana wana disc kila sikuunaanzia wapi kuwarekebisha..... ile lifestyle yao haiepukiki
wanachefua sanaInakera sana kwa wasomi wetu kuvaa nusu uchi.