Tabia za mwanafunzi wa chuo

wanafunz wa vyuo au umri tu ndio sababu?
 
wengi ni watoto mkuu na ukiona hvy ujue ni mwaka wa kwanza na wa pili ila wakubwa zao mwaka wa tatu tunajitambua sana na ukiona 3rd year yuko vile ujue ana matatizo ya asili au makinikia na hapo alipo ana disqualify za ujazo wa kutosha
 
Chuoni wanavaa skin wakifika kitaani wanavaa madella ati wanatabia njema
 
Sisi tuliosoma chuo miaka ya 80 hatukuwa na hayo mambo
 
hizo tabia ni kawaida na sio kw wanachuo wa Tanzania tu bali ni dunia nzima...ww unaonekana ulikua john kisomo...
 
Kila demu wa chuo lazima avae wigi,kuzuka minywele mirefu Ka Jini na kuvaa skirt fupi
 
Hili la wadada wasio na makuu Lina ukweli ndani yake,haswa katika taasisi za umma.
 
Inakera sana kwa wasomi wetu kuvaa nusu uchi.

Kutudharau tulioishia Std 7...

ukipita pale darajani njia panda ya UDsm utasema kuna Club imefunguliwa maeneo yale, wanafunzi walivovaa malaya sio malaya,makahaba sio makahaba... nadhani kuna haja ya wao kujirekebisha.
 
Achen majungu mbona tukiwa tunasoma kwa shda huko olevo na advance mlikuwa kmyaa acha tuponde rahaa hapa tupo na madem tunaingia dom twn from udom kaz kaz
 
Kutudharau tulioishia Std 7...

ukipita pale darajani njia panda ya UDsm utasema kuna Club imefunguliwa maeneo yale, wanafunzi walivovaa malaya sio malaya,makahaba sio makahaba... nadhani kuna haja ya wao kujirekebisha.
unaanzia wapi kuwarekebisha..... ile lifestyle yao haiepukiki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…