Tabia za kugeuza Ikulu kuwa majumbani mwenu Samia na Magufuli wanazitoa wapi? Sio Nyerere, Mwinyi, Mkapa hata Kikwete hawakuwa nazo

Tabia za kugeuza Ikulu kuwa majumbani mwenu Samia na Magufuli wanazitoa wapi? Sio Nyerere, Mwinyi, Mkapa hata Kikwete hawakuwa nazo

Sifi Leo

Platinum Member
Joined
Mar 30, 2012
Posts
5,937
Reaction score
10,815
Magufuli yeye aliigeuza chato kuwa IKULU na Kuna siku aliwaapisha mawaziri pale nyumbani kwake alipo zikwa tukahoji tukaambiwa bwana IKULU ya Dsm ni NZITO mno unaitaji kusafishwa.

Baadae tukaambiwa Paulo Makonda alipeleka wazee WA kisukuma wakapasafisha Sina hakika nisamehee Makonda.

Sasa ni mara ya pili Samia tangu ale kiapo Muda mwingi yupo zanzibari najiuliza na yeye IKULU ya Dodoma Ina shida Gani?

Ile IKULU ni mpya kabisa Haina tatzo zanzibari WAFATA. Nini?

Sikuwai kumwona Nyerere aliigeuza butihama kuwa IKULU,Wala Mwinyi, hata mkapa, Tena mkapa hata kwenda kwao alikuwa haendi mara Kwa mara ndio maana hata BARABARA alishindwa kuijenga

Nilimshuhudia Jakaya kila ijumaa lazima aende Msoga ila sio kwa SHUGHULI za IKULU.

Sasa mama Samia hii tabia ya Magufuli ya Nini?
 
Magufuli yeye aliigeuza chato kuwa IKULU na Kuna siku aliwaapisha mawaziri pale nyumbani kwake alipo zikwa tukahoji tukaambiwa bwana IKULU ya Dsm ni NZITO mno unaitaji kusafishwa.

Baadae tukaambiwa Paulo Makonda alipeleka wazee WA kisukuma wakapasafisha Sina hakika nisamehee Makonda.
Sasa ni mara ya pili Samia tangu ale kiapo Muda mwingi yupo zanzibari najiuliza na yeye IKULU ya Dodoma Ina shida Gani?
Ile IKULU ni mpya kabisa Haina tatzo zanzibari WAFATA. Nini?

Sikuwai kumwona Nyerere aliigeuza butihama kuwa IKULU,Wala Mwinyi, hata mkapa, Tena mkapa hata kwenda kwao alikuwa haendi mara Kwa mara ndio maana hata BARABARA alishindwa kuijenga
Nilimshuhdudia Jakaya kila ijumaa lazima aende msoga ila sio kwa SHUGHULI za IKULU.

Sasa mama Samia hii tabia ya Magufuli ya Nini?
Hajavunja katiba kwa hiyo sisi wabara tumfate zanzibari?
 
Samuya akilala huku Tanganyika anaweweseka wale aliowaua wanamtokea na mara nyingi anasikika akitaja jina la Mzee Ali Kibao akipiga kelele kuwa anamfukuza, jopo la waganga kutoka Nigeria ndiyo wamemshauri aishi Zanzibar tu hata ikibidi kuja Tanganyika mchana lakini kabla ya jua kuzama awe amesharudi Tunguu Zanzibar.
 
Magufuli yeye aliigeuza chato kuwa IKULU na Kuna siku aliwaapisha mawaziri pale nyumbani kwake alipo zikwa tukahoji tukaambiwa bwana IKULU ya Dsm ni NZITO mno unaitaji kusafishwa.

Baadae tukaambiwa Paulo Makonda alipeleka wazee WA kisukuma wakapasafisha Sina hakika nisamehee Makonda.
Sasa ni mara ya pili Samia tangu ale kiapo Muda mwingi yupo zanzibari najiuliza na yeye IKULU ya Dodoma Ina shida Gani?
Ile IKULU ni mpya kabisa Haina tatzo zanzibari WAFATA. Nini?

Sikuwai kumwona Nyerere aliigeuza butihama kuwa IKULU,Wala Mwinyi, hata mkapa, Tena mkapa hata kwenda kwao alikuwa haendi mara Kwa mara ndio maana hata BARABARA alishindwa kuijenga
Nilimshuhdudia Jakaya kila ijumaa lazima aende msoga ila sio kwa SHUGHULI za IKULU.

Sasa mama Samia hii tabia ya Magufuli ya Nini?
Mkuu nakubaliana nawe kwamba Ikulu iko Dodoma. Hii haina chembe ya shaka. Lakini nakumbusha tu kwamba Dar es salaam pia kuna ikulu na Rais huwa anafanyia kazi kule. Aidha Zanzibar kuna ikulu na rais anaweza kufanyia kazi kule.

Chato ilikuwa nyumbani kwa Magufuli na nikujuilishe tu kwamba nyumbani kwao mama Samia ni Kizimkazi na siyo Zanzibar. Pingine ukaona ajabu kwa hili. Zanzibar ni jina la nchi lakini pia ni jina la mji na makao makuu ya Serikali yapo kwenye mji unaitwa Zanzibar. Kwa hivyo Rais Samia anafanya shughuli za serikali akiwa ikulu Zanzibar kama vile anavyofanyakazi akiwa ikulu Dar es salaam na hafanyi hivyo akiwa nyumbani kwake. Huenda hii ikatoa mwanga kidogo wa haya yanayofanyika. Tuwe wakweli.
 
Mkuu nakubaliana nawe kwamba Ikulu iko Dodoma. Hii haina chembe ya shaka. Lakini nakumbusha tu kwamba Dar es salaam pia kuna ikulu na Rais huwa anafanyia kazi kule. Aidha Zanzibar kuna ikulu na rais anaweza kufanyia kazi kule.

Chato ilikuwa nyumbani kwa Magufuli na nikujuilishe tu kwamba nyumbani kwao mama Samia ni Kizimkazi na siyo Zanzibar. Pingine ukaona ajabu kwa hili. Zanzibar ni jina la nchi lakini pia ni jina la mji na makao makuu ya Serikali yapo kwenye mji unaitwa Zanzibar. Kwa hivyo Rais Samia anafanya shughuli za serikali akiwa ikulu Zanzibar kama vile anavyofanyakazi akiwa ikulu Dar es salaam na hafanyi hivyo akiwa nyumbani kwake. Huenda hii ikatoa mwanga kidogo wa haya yanayofanyika. Tuwe wakweli.
Porojo nyingi kumbe hata hujui kama Unguja na Pemba ndio zinazaa Zanzibar.

Kwahiyo kwa akili yako Pemba siyo Zanzibar?
 
Magufuli yeye aliigeuza chato kuwa IKULU na Kuna siku aliwaapisha mawaziri pale nyumbani kwake alipo zikwa tukahoji tukaambiwa bwana IKULU ya Dsm ni NZITO mno unaitaji kusafishwa.

Baadae tukaambiwa Paulo Makonda alipeleka wazee WA kisukuma wakapasafisha Sina hakika nisamehee Makonda.
Sasa ni mara ya pili Samia tangu ale kiapo Muda mwingi yupo zanzibari najiuliza na yeye IKULU ya Dodoma Ina shida Gani?
Ile IKULU ni mpya kabisa Haina tatzo zanzibari WAFATA. Nini?

Sikuwai kumwona Nyerere aliigeuza butihama kuwa IKULU,Wala Mwinyi, hata mkapa, Tena mkapa hata kwenda kwao alikuwa haendi mara Kwa mara ndio maana hata BARABARA alishindwa kuijenga
Nilimshuhdudia Jakaya kila ijumaa lazima aende msoga ila sio kwa SHUGHULI za IKULU.

Sasa mama Samia hii tabia ya Magufuli ya Nini?
Magufuli alifanya vile kwa sababu ya COVID19, sio kila kitu mlete ubishi usiokuwa na kichwa wala miguu, kipindi kile walipukutika watu kupita maelezo kila ukifungua gazeti unakutana na tanzia ukiitazama sura machozi yanaanza kukutoka.

Kumbuka JPM kiafya alikuwa na changamoto nzito kwake kujitenga na muingiliano wa watu ilikuwa sawa kabisa. Kile kifo chake kiliikumba ofisi nzima ya ikulu. Kuna ile picha inayoonyesha wote waliomzunguka wamewekewa alama nyekundu kwamba walishaaga dunia.

Samia ameita kikao kwao kipindi cha mapumziko ya mwisho wa mwaka, pia kumbuka kwamba ikulu ndogo ni ofisi ya rais popote ilipojengwa.. Yapo mashauri yenye kuhitaji utatuzi wa haraka hivyo halazimiki kufanyia kazi pale Magogoni au pale Dodoma muda wote.
 
Magufuli alifanya vile kwa sababu ya COVID19, sio kila kitu mlete ubishi usiokuwa na kichwa wala miguu, kipindi kile walipukutika watu kupita maelezo kila ukifungua gazeti unakutana na tanzia ukiitazama sura machozi yanaanza kukutoka.

Kumbuka JPM kiafya alikuwa na changamoto nzito kwake kujitenga na muingiliano wa watu ilikuwa sawa kabisa. Kile kifo chake kiliikumba ofisi nzima ya ikulu. Kuna ile picha inayoonyesha wote waliomzunguka wamewekewa alama nyekundu kwamba walishaaga dunia.

Samia ameita kikao kwao kipindi cha mapumziko ya mwisho wa mwaka, pia kumbuka kwamba ikulu ndogo ni ofisi ya rais popote ilipojengwa halazimiki kwenda pale Magogoni au pale Dodoma kufanyia kazi ikiwa anakuwepo safarini kikazi.
You have some point, Nyerere alihama ikulu ya Magogoni akahamia nyumbani kwake Msasani.
 
Magufuli yeye aliigeuza chato kuwa IKULU na Kuna siku aliwaapisha mawaziri pale nyumbani kwake alipo zikwa tukahoji tukaambiwa bwana IKULU ya Dsm ni NZITO mno unaitaji kusafishwa.

Baadae tukaambiwa Paulo Makonda alipeleka wazee WA kisukuma wakapasafisha Sina hakika nisamehee Makonda.

Sasa ni mara ya pili Samia tangu ale kiapo Muda mwingi yupo zanzibari najiuliza na yeye IKULU ya Dodoma Ina shida Gani?

Ile IKULU ni mpya kabisa Haina tatzo zanzibari WAFATA. Nini?

Sikuwai kumwona Nyerere aliigeuza butihama kuwa IKULU,Wala Mwinyi, hata mkapa, Tena mkapa hata kwenda kwao alikuwa haendi mara Kwa mara ndio maana hata BARABARA alishindwa kuijenga

Nilimshuhudia Jakaya kila ijumaa lazima aende Msoga ila sio kwa SHUGHULI za IKULU.

Sasa mama Samia hii tabia ya Magufuli ya Nini?
ULITAKA ULALE WEWE
 
Mkuu nakubaliana nawe kwamba Ikulu iko Dodoma. Hii haina chembe ya shaka. Lakini nakumbusha tu kwamba Dar es salaam pia kuna ikulu na Rais huwa anafanyia kazi kule. Aidha Zanzibar kuna ikulu na rais anaweza kufanyia kazi kule.

Chato ilikuwa nyumbani kwa Magufuli na nikujuilishe tu kwamba nyumbani kwao mama Samia ni Kizimkazi na siyo Zanzibar. Pingine ukaona ajabu kwa hili. Zanzibar ni jina la nchi lakini pia ni jina la mji na makao makuu ya Serikali yapo kwenye mji unaitwa Zanzibar. Kwa hivyo Rais Samia anafanya shughuli za serikali akiwa ikulu Zanzibar kama vile anavyofanyakazi akiwa ikulu Dar es salaam na hafanyi hivyo akiwa nyumbani kwake. Huenda hii ikatoa mwanga kidogo wa haya yanayofanyika. Tuwe wakweli.
Zanzibar inakatiba yake na Rais wake na Ikulu yake, hata kama ni sehemu ya Tanzania ndo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ahamishie Ikulu yake kwenye Ikulu ya Rais mwingine!? Kwanza gharama za uendeshaji zinaongezeka, Halafu pili kiprotokali inaleta bughuza kwa wakazi wa unguja. Viongozi wetu wanaprotokali za kizamani. Dodoma tu kukiwa na top three wote usumbufu unakuwa ni mkubwa balaa, misafara yao inachelewesha wananchi kuwahi majukumu yao ya kujipatia kipato na kurudi makwao. Sasa hapo unguja si imekuwa ni balaa vigogo wakuu wawili wa nchi wako hapo plus akina mwigulu na nchimbi kila mara kwenda na kurudi zenji, bado makamu wawili wa Mwinyi kwenda na kurudi kazini kila siku. Samia kuhamishia Ikulu zenji sidhani kama ni ubunifu mzuri wa kiutawala.
 
Samuya akilala huku Tanganyika anaweweseka wale aliowaua wanamtokea na mara nyingi anasikika akitaja jina la Mzee Ali Kibao akipiga kelele kuwa anamfukuza, jopo la waganga kutoka Nigeria ndiyo wamemshauri aishi Zanzibar tu hata ikibidi kuja Tanganyika mchana lakini kabla ya jua kuzama awe amesharudi Tunguu Zanzibar.
Mnapenda porojo...
 
Mkuu nakubaliana nawe kwamba Ikulu iko Dodoma. Hii haina chembe ya shaka. Lakini nakumbusha tu kwamba Dar es salaam pia kuna ikulu na Rais huwa anafanyia kazi kule. Aidha Zanzibar kuna ikulu na rais anaweza kufanyia kazi kule.

Chato ilikuwa nyumbani kwa Magufuli na nikujuilishe tu kwamba nyumbani kwao mama Samia ni Kizimkazi na siyo Zanzibar. Pingine ukaona ajabu kwa hili. Zanzibar ni jina la nchi lakini pia ni jina la mji na makao makuu ya Serikali yapo kwenye mji unaitwa Zanzibar. Kwa hivyo Rais Samia anafanya shughuli za serikali akiwa ikulu Zanzibar kama vile anavyofanyakazi akiwa ikulu Dar es salaam na hafanyi hivyo akiwa nyumbani kwake. Huenda hii ikatoa mwanga kidogo wa haya yanayofanyika. Tuwe wakweli.
Hakuna mji unaitwa zanzibar,makao makuu ni Unguja
 
Porojo nyingi kumbe hata hujui kama Unguja na Pemba ndio zinazaa Zanzibar.

Kwahiyo kwa akili yako Pemba siyo Zanzibar?
Ha ha haaa!!!.
Mkuu hivi umesoma nilichoandika?!! Nasikia huko mumesoma na muna akili. Ndo hizo?!!! Soma tena nichoandika between the line ukishaleuka. Huenda utaelewa.
 
Back
Top Bottom