kuku_msela
Member
- Jun 12, 2017
- 10
- 24
Hi tabia inakera sana, wanawake jaribuni kubadilika, mtu hata hakutaki wala hana wazo la kukutongoza lakini akikusemesha kidogo tu, utadhani amekutongoza miaka mitatu mfululizo, majuzi nimepoteza direction mahala flani, nikamuona dada mmoja nikamfuata kistarabu, nikamsalimu na kumuuliza, bora hata mtu akujibu sipafahamu, niliambua kubinuliwa midomo utadhani tupo hospitali za kung'oa meno.
Bora basi uwe unaringa sura unayo, unakuta wengine sura ngumu kama nyama ya mamba lakini hata ukikasalimu tu kosa, kajitu anauchuna kakijitahidi sana utajibiwa kwa mkato utadhani kuna ugomvi wa kudhurumiana pesa.
Mbadilike japo sio wote ila asilimia kubwa mmezidi, ata sms utakuta kamtu kana jibu k., au p,,, hivi mnavojikuta wazuri utadhani hamuendi chooni kukata magogo, afu kajitu kanakuringia wewe mwanaume ambae bila wewe kusema yes katasota miaka 30 hakajaolewa tu,
Dada zangu naamini jumbe umefika na mtaufanyia kazi.
Bora basi uwe unaringa sura unayo, unakuta wengine sura ngumu kama nyama ya mamba lakini hata ukikasalimu tu kosa, kajitu anauchuna kakijitahidi sana utajibiwa kwa mkato utadhani kuna ugomvi wa kudhurumiana pesa.
Mbadilike japo sio wote ila asilimia kubwa mmezidi, ata sms utakuta kamtu kana jibu k., au p,,, hivi mnavojikuta wazuri utadhani hamuendi chooni kukata magogo, afu kajitu kanakuringia wewe mwanaume ambae bila wewe kusema yes katasota miaka 30 hakajaolewa tu,
Dada zangu naamini jumbe umefika na mtaufanyia kazi.
