Chokochoko
JF-Expert Member
- Oct 15, 2011
- 438
- 184
Hivi ni ukatili au tuuiteje?
Unakuta mwanaume amezaa na mtu watoto/mtoto kuwatunza hataki halafu Mwanamke ndio anaenyeka mwenyewe kulea halafu baadae yule mwanaume anakuja kujipendekeza watoto wangu hii imekaaje?
Mimi naona mwanaume akiamua kutelekeza mtoto hana tofauti yakusema ametupa watoto nanivyema kuwakuza wakiwa wanajua baba yao aliwatupa ili kujakupunguza story nyingi baadae wakikua.
Unakuta mwanaume amezaa na mtu watoto/mtoto kuwatunza hataki halafu Mwanamke ndio anaenyeka mwenyewe kulea halafu baadae yule mwanaume anakuja kujipendekeza watoto wangu hii imekaaje?
Mimi naona mwanaume akiamua kutelekeza mtoto hana tofauti yakusema ametupa watoto nanivyema kuwakuza wakiwa wanajua baba yao aliwatupa ili kujakupunguza story nyingi baadae wakikua.