toccara
JF-Expert Member
- Apr 17, 2014
- 540
- 203
nafanya nae kazi sehemu moja mama na familia yake, lakini anaweza kunipigia simu kuwa atakuja kwangu kunisalimia siku ya weekend, basi nitakaa mchana wote haji ikifika saa 4 usiku ananipigia simu vipi umeshalala? mimi niko hapa nje kwako, mara mbili kanifanyia hivyo na akiingia ndani hana haraka ya kuondoka, juzi jumapili kanifanyia hivyo sikumfungulia na nikazima smu, jana nimefika ofisini namsalimia kanuna, waungana nisaidieni huyu mwanamke mwenzangu anania gani ni kunisalimia tuu tena usiku usiku au mi simwelewi? na anajua mimi ni mke wa mtu