Tabia ya mtoto huyu haifai..

Wana jamii especially wapenzi wa MMU!

Jana jioni nilimtembelea shemeji maeneo ya Mbezi ya Kawe kwenye flat za BOT...
kituko nilichokiona pale kiliniacha mdomo wazi.

Shemeji analea mtoto ambae alimchukua akiwa ana miezi kumi na moja toka azaliwe baada ya mama wa mtoto kumtelekeza. Ni kitoto cha kike ni kizuri kina afya njema na kicheshi na kichangamfu, umri wake ni miaka 2 na miezi 8.

Jamani nilichojionea jana ni aibu, wakati tukiwa sitting room alikuja jamaa mmoja ambae ni fundi nguo si mnajua baadhi ya mafundi wana mapigo ya kipedeshee suruali mpaka kifuani.

Basi na yule fundi alikuwa kapiga mapigo ya kipapaa alikuwa amekuja kupima nguo za watoto mle ndani akiwa katika process za kupima pima mara alikuwa ana inama yule MTOTO ALICHOFANYA ALIENDA AKAMSHIKA MAKALIO YULE FUNDI (40 YEARS AND ABOVE).

HALAFU MTOTO AKAWA ANASEMA HII ******, nilibaki kinywa wazi na aibu ndani ya nafsi yangu hata yule fundi alijisikia vibaya sana.

Baada ya kuondoka wakina dada walivunja mbavu kwa vicheko wakawa wanasema haaa ndio tabia yake kushika watu hata sisi chumbani huwa anatufanyia hivyo....
ni hayo tu wana MMU...

Hebu fikiria kama angekuwa mtoto wako halafu anafanya kitendo cha aibu kama hicho ungejisikia je?

Halafu na wewe ndiye uliyemuita fundi nguo kuja nyumbani kwako halafu anakutana na madhira kama hayo.

hahahah! sasa kama mtoto anashudia nyie wazazi mkiombana na kupeana tigo chumbani unatarajia nini?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom