G'taxi
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 6,565
- 8,427
Mara kadhaa nimekuwa nikishuhudia hii tabia lakini ya leo imekuwa ni mbaya zaidi
Dereva wa Noah anaongea na simu na kutuma sms, kupokea sms njia nzima? Mala gari inayumba yeye hajali yumo na simu, mala Katoa ka simu kadogo, mala smart phone, muda wore yuko busy huku aki drive gari na ametubeba kama abiria tumemlipa pesa.
Mbaya zaidi ni mtu mzima like 50yrs na angalau basi angekua kijana tungesema ni ujana.
Khaaa!
Dereva wa Noah anaongea na simu na kutuma sms, kupokea sms njia nzima? Mala gari inayumba yeye hajali yumo na simu, mala Katoa ka simu kadogo, mala smart phone, muda wore yuko busy huku aki drive gari na ametubeba kama abiria tumemlipa pesa.
Mbaya zaidi ni mtu mzima like 50yrs na angalau basi angekua kijana tungesema ni ujana.
Khaaa!