majany
JF-Expert Member
- Sep 30, 2008
- 1,223
- 579
Hivi ni kwa nini watu hupenda sana kujisifia..Wakati naanza mahusiano nilijua labda ni kwa baadhi ya wadada...hata nilipopata mchumba,ambaye kwa sasa ni mke wangu,hii tabia naiona..utasikia yaani sisi ukoo wetu bila kuwa na gari zuri la thamani unaonekana maskini(kipindi hicho hata gari sina),au unajua kaka yangu kanunua x-trail last week.......anaye'ongea hv hata bajaj hana......hivi ni kwa nini....kiukweli siipendi mpaka basi....