Tabia ya kufurahia matatizo ya wengine

Tabia ya kufurahia matatizo ya wengine

Na kinachotisha na kuogopesha hali hii mbaya ya wivu chuki na kufarahia matatizo ya mtu miongon ya jamii ya kitanzania inazid kwa kas. Hata huku denmark. Mwaka jana kijana mmoja mbongo walimdepot yani masela walikunywa pombe kwa furahana ikawa topic kwa muda mrefu sana na kumdhihak dogo halaf ni msela mwanzao just imagine
 
Na kinachotisha na kuogopesha hali hii mbaya ya wivu chuki na kufarahia matatizo ya mtu miongon ya jamii ya kitanzania inazid kwa kas. Hata huku denmark. Mwaka jana kijana mmoja mbongo walimdepot yani masela walikunywa pombe kwa furahana ikawa topic kwa muda mrefu sana na kumdhihak dogo halaf ni msela mwanzao just imagine

Dah!Inashangaza na kusikitisa at the same time. Mungu na atusaidie. Ukiwa na roho ya kwanini hata maisha huwezi yafurahia. Furaha inakuja only when you see others in trouble. What a waste n pathetic life!
 
Si vema kunisema sema vibaya nipatapo tatizoo,shetani wampa nafasi ndani ya moyo wako,mana maneno mabaya huuchafua moyo hukuweka mbali na Mungu ni vyema uwe safi
Tuikemee hii culture sio nzuri kabisa
 
Watu wengi wanahangaika na maisha mpaka wanafanikiwa lakini wengine ndiyo wamekaa na chuki na kuona kuwa hawawezi kufanikiwa kimaisha, fursa zipo nyingi tatizo ushwahili mwingi sana
 
mimi mafisadi wanatumbuliwa na magufuli nafurahia sana...haya mafisadi ndio yamesababisha umasikini wawatanzania huku wao wanaishi kama wako peponi....tena inatakiwa wanyongwe kabisa...namuomba rais wangu tuwe na sherehe kabisa ya kusherehekea haya mafisadi kutumbuliwa.
Fanya kazi nawe ufanikiwe usitegemee hayo majibu
 
Watu tumebadilika sana nafikiri evolution ina endelea kuchukua nafasi zama hzi si za kuambatana na mtu ile kufa na kupona, pendelea kukaa peke ako na kutomuamini yeyote yule tu labda tu mama mzazi yani hata mshua baba mzazi sio wa kumuamini
 
Kuna jamaa aliuawa kisa amekanyaga nyanya zilizowekwa chin barabaran na gar,,,,wananch kipato cha chin wakamshambulia,,,,ukiwa na pesa masikin anakuchukia japo anahitaj msaada wako
 
Jee, mnajuwa mzizi wa hizi chuki?
Na wapi zilipoanzia? na nani alikuwa akichochea...?
Sasa matunda yake ndo hayo...!! bado kilio kikubwa kinatunyemelea....
 
Isije kutokea vita kati ya maskini na matajiri.afu maskini tukibakia kuonea gere wenye nazo ni makosa wengine ni za halali na amesotea kuzipata sio nyie kila mkiona mtu ana maisha mazuri mnadhani fisadi mmeshachapa mihuri nyoyo zenu kwa roho ya kwanini na nyie tafteni sio kuona gere tu huku umekaa kijiweni huna kazi
 
Isije kutokea vita kati ya maskini na matajiri.afu maskini tukibakia kuonea gere wenye nazo ni makosa wengine ni za halali na amesotea kuzipata sio nyie kila mkiona mtu ana maisha mazuri mnadhani fisadi mmeshachapa mihuri nyoyo zenu kwa roho ya kwanini na nyie tafteni sio kuona gere tu huku umekaa kijiweni huna kazi
Impact yake ni kubwa na hatari....
 
nyota ndogo alimaliza kila kitu kwenye watu na viatu.
 
Ukitaka kujua ubaya wa matabaka haya mwendesha Boda Boda ajilete mbele ya gari yako kwa uzembe wake na wewe ukajitahidi kumnusuru ikashindikana yaani Bodaboda zote zilizopo hapo karibu watakuja kasi bila kutaka kujua nani alikuwa na makosa na ukilegea kidogo watachoma Gar pamoja na wewe kabisa...Huku wakisema hawa majamaa wenye magari wanajisikia sana..Very Bad..
 
Ukitaka kujua ubaya wa matabaka haya mwendesha Boda Boda ajilete mbele ya gari yako kwa uzembe wake na wewe ukajitahidi kumnusuru ikashindikana yaani Bodaboda zote zilizopo hapo karibu watakuja kasi bila kutaka kujua nani alikuwa na makosa na ukilegea kidogo watachoma Gar pamoja na wewe kabisa...Huku wakisema hawa majamaa wenye magari wanajisikia sana..Very Bad..
huu ni mfano halisi wa kiwango cha chuki cha baadhi wa watz!
 
Back
Top Bottom