Na kinachotisha na kuogopesha hali hii mbaya ya wivu chuki na kufarahia matatizo ya mtu miongon ya jamii ya kitanzania inazid kwa kas. Hata huku denmark. Mwaka jana kijana mmoja mbongo walimdepot yani masela walikunywa pombe kwa furahana ikawa topic kwa muda mrefu sana na kumdhihak dogo halaf ni msela mwanzao just imagine