Tabia ya kuegemea magari ya watu

Tabia ya kuegemea magari ya watu

fluid

JF-Expert Member
Joined
Jul 9, 2012
Posts
363
Reaction score
236
Hii tabia ya kuegemea magari ya watu hovyo hovyo tu ipo sana hasa hasa jijini Dar ee Salaam.

Umepaki gari lako, salama bin salmin kutoka na kurudi unakuta Jitu limeegemea garil lako, tena kwenye taa, halijui hata bei ya taa wala rangi.

Hii tabia ni kero sana naomba ikomeshwe.
 
Hii tabia ya kuegemea magari ya watu hovyohovyo tu Ipo sana hasahasa jijini dar Ee salaam , umepaki gari lako, salama bin salmin ,kutoka na kurudi unakuta Jitu limeegemea garil lako, tena kwenye taa, halijui ata bei ya taa wala rangi. Hii tabia ni kero sana naomba ikomeshwe.


So whats the big deal ...inaonekana wee hate ukimpa lift mtu utataka afute miguu na afunge mlango taratibuuu , tabia hizi ni za miaka ile Mtaa mzima gari mmoja ........ndio ukiegemea gari ya mtu ni ugomv
 
bila shaka ndo gari yako ya kwanza kununua wamekuskia mkuu
huyyu hate home inaonekana bado yuko miaka 25 iliyopita au 30 enzi za baba kufungia TV kabatini [ wengi Tv walikuwa wanazionea kwa jirani ...],,,,alafu ikaja TV kuwa sitting room lakini kwenye grill la chuma kama bar,alafu ikaja tv kuwa kwenye kabati la mbao linafunguliwa wazee wakirudi ..
Ikaja enzi sasa ya kati kati kabla hajaingia mkapa ...mwinyi anakaribia kutoka TV inakuwa sitting lakini imefunikwa na Kitambaa cha kufumwa na mama , .....ikaja sasa TV angalau zinakua mbili nyumbani .......sasa nyumba nyingi middle class kila room ina TV FLAT ..

Genesisi
 
Naunga mkono hoja. Wengine anapark karibu yako halafu anafungua mlango wake kwa nguvu na kukuachia alama. Halafu anaendelea na shughuli zake kana kwamba hamna kilichotokea, hana habari.
 
Back
Top Bottom