Tabia ya ku ghost mtu kwenye relationship

Strong and Fearless

JF-Expert Member
Apr 24, 2017
693
1,582
Tabia ya ku ghost mtu kwenye relationship inatokana na nini hasa? Ni kwamba mtu anaogopa confrontation Au ni immaturity?
Kuna mtu wangu wa karibu kawa ghosted na boyfriend wale wa 3 years, hapokei simu wala kujibu text ila anapost status, and now it has been a month Yani kachanganyikiwa na anaumia sana na hajui kakosea wapi, na walikua hawana ugomvi wowote.
 
Oneitis ni ugonjwa mmbaya sana. Kwa idadi ya watu iliyopo duniani unakaa seriously kabisa unateseka kisa mtu mmoja aliyeamua kwa akili zake timamu kukupotezea. Just move on na wewe.

Halafu acha kusema ni rafiki yako ndo kapigwa tukio ni wewe.

Ni my friend Sasa hali yake inazidi kuwa mbaya mpk Sisi watu wa karibu inatuumiza maana hali na amekonda sanaa Ndio maana am concerned
 
Tabia ya ku ghost mtu kwenye relationship inatokana na nini hasa? Ni kwamba mtu anaogopa confrontation Au ni immaturity?
Kuna mtu wangu wa karibu kawa ghosted na boyfriend wale wa 3 years, hapokei simu wala kujibu text ila anapost status, and now it has been a month Yani kachanganyikiwa na anaumia sana na hajui kakosea wapi, na walikua hawana ugomvi wowote.
Binaadamu wote tuna tabia cha kukinai na ubinafsi sasa unapozidisha tabia hizo ndio mambo kama hayo yanayokea mara kuachana mara kusalitiana

Kila kitu jitahidi kiwe na kiasi

Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom