Idiot Embicile
JF-Expert Member
- Apr 30, 2019
- 1,037
- 1,978
"Kumoka" inabidi niombewe tu jamani naipenda hii kitu
bila sababu za msingi
daaah iyo nayo tabia yangu ila nmeshindwa kusema,,, wife ataon humu😂😂😂"Kumoka" inabidi niombewe tu jamani naipenda hii kitu
Kununa kwasababu maalum
Ata kwa kitu kidogobila sababu za msingi
Umewezaje kuishi bila mkeo kujua kama unatumia kitudaaah iyo nayo tabia yangu ila nmeshindwa kusema,,, wife ataon humu![]()
Clit Rubbing....hii mada inahusu hata wanandoa?
Kwa mfano nikikwaza pakubwa siwezi kujichekesha kinafikikama sababu zipi??
😂😂😂Kufanya masihara hata kwenye mambo ya msingi.Ukichukia mimi nacheka.
okeeeyKwa mfano nikikwaza pakubwa siwezi kujichekesha kinafiki
na unalewa sana😂😂Kukopa bia Kwa mama Kagoma siachi bora aniue tuu.
😂😂😂😂sema tu kwa kiswahili unapiga punyeto ya kike
ahsante.
daah natumia mbinu nyingi mnoUmewezaje kuishi bila mkeo kujua kama unatumia kitu