Tabia Nane za watu wapole

Mnanisema sasa jamani, mi mpole mpak nimepitiliza asee ila kiukweli sijawah gombana na mtu miaka mingi sana but nikikerwa nakuwa na hasira nikiongea nahis kama siongei mimi maana naona kama maneno yanapandiana so nakuwa mpole tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…