Bado mmoja hapo mkuu ili wawe watatu...ndiyo itakuwa rahisi kwako
KaribuHahahaahahahha siwezi bhnaa....mungu ananionaa nishachoka stres mie
Sent using Jamii Forums mobile app
hapana, ushauri wako ni mzuri sana kwa afya yake ahahaahHahahah ina maana ushauri wangu sio kabisaa ee??
hapana, ushauri wako ni mzuri sana kwa afya yake ahahaah
kwa ajili ya afya yako acha nisapoti tu mkuu si unajua ladies first.
😂😂😂😂😂mfyuuuhapana, ushauri wako ni mzuri sana kwa afya yake ahahaah
😂😂😂😂😂mfyuuu
Kweli ndo hvyo...!MPENDE AKUPENDAE, ASIYEKUPENDA ACHANA NAE
By, Mr Nice, kikulacho
Thank me Later
Huo usomaji wako sasa na wenyewe una mashaka, uko secondary au data star training college, au eagle wingsWala ata,,,,naficha nisijulikane kuna ndugu kibao wanajua nick name zangu zote,,, now nachat nao kabisa hawajui kama n mm,,but nasoma
Sent using Jamii Forums mobile app
Eagle wige mkuuHuo usomaji wako sasa na wenyewe una mashaka, uko secondary au data star training college, au eagle wings
Kama uliwasumbua waliokupenda na kuwakataa.. bhasi wanasemaga KARMA IS A B..TCH...KARMA NEVER FORGET!No sio first yangu kaka...
Hivyi ishawahi kukutokeaa yaani unakuwa wanawake wengi wanjitokeza kutoka kwako unawasumbua unavyotaka wewe ila Sasa ikitokeaa ukaja kupendaa yule unampenda kweli inakuwaa inaumaa tu...unasemaa bora Hata yule anayekupenda angekuwaa ndo yeye unayempndaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahaaaaa.. ndo ile wanasemaga what goes around comes around
Especially,,,Ahaaaaa.. ndo ile wanasemaga what goes around comes around
sasa nimeelewa


