jockey emmanuel
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 330
- 50
nasema nanyi walimu,mnaoniangalia
matendo yenu ya sumu,mi' nimeshayasikia
bado hamjanipata?nimetumia tungo tata?
kweli kupanda mchongoma,na kushuka ndio ngoima
ninapatwa na uchungu,nikiwacheki walimu
napata kizunguzungu,matendo yenu ya sumu
twapigania haki zenu,mnazima ndoto zetu
tunatetea uhuru wenu,mnaharibu future zetu
mnatoka na wanafunzi,mnawa-dump ka' magunzi
mwawapa mimba wanafunzi,mnakana.....
je,ni upungufu wa mishahara,..am,a ukosefu wa nyumba za walimu...unaosababisha haya?
si mijini,si vijijini...si kayumba,si private...maticha wamekuwa too much!:sad:
matendo yenu ya sumu,mi' nimeshayasikia
bado hamjanipata?nimetumia tungo tata?
kweli kupanda mchongoma,na kushuka ndio ngoima
ninapatwa na uchungu,nikiwacheki walimu
napata kizunguzungu,matendo yenu ya sumu
twapigania haki zenu,mnazima ndoto zetu
tunatetea uhuru wenu,mnaharibu future zetu
mnatoka na wanafunzi,mnawa-dump ka' magunzi
mwawapa mimba wanafunzi,mnakana.....
je,ni upungufu wa mishahara,..am,a ukosefu wa nyumba za walimu...unaosababisha haya?
si mijini,si vijijini...si kayumba,si private...maticha wamekuwa too much!:sad: