Tabia mbovu maticha wa kiume

jockey emmanuel

JF-Expert Member
Mar 23, 2011
330
50
nasema nanyi walimu,mnaoniangalia
matendo yenu ya sumu,mi' nimeshayasikia
bado hamjanipata?nimetumia tungo tata?
kweli kupanda mchongoma,na kushuka ndio ngoima
ninapatwa na uchungu,nikiwacheki walimu
napata kizunguzungu,matendo yenu ya sumu
twapigania haki zenu,mnazima ndoto zetu
tunatetea uhuru wenu,mnaharibu future zetu
mnatoka na wanafunzi,mnawa-dump ka' magunzi
mwawapa mimba wanafunzi,mnakana.....
je,ni upungufu wa mishahara,..am,a ukosefu wa nyumba za walimu...unaosababisha haya?
si mijini,si vijijini...si kayumba,si private...maticha wamekuwa too much!:sad:
 
Nadhani Umekosea sana mwanzisha mada.Y?Ngojera na taraabu zisizokuwa na evidences wala uthibitisho cyo mahala pake.C wote bwana ,au una assume.MI MWL.kiume unitake radhi!bora ungesema baadhi ya matcha wa kiume!Cna ubaya na wewe.Swali,la kizush:Wwe mwl.wa Kiswaz nn?
 
ulichozungumza kipo,na kinakuwa kwa kasi kila kukicha,labda cha kujiuliza ni:kwa nini baadhi ya walimu wa kiume wanakuwa na uhusiano wa kimapenzi na wanafunzi wao wa kike??!!
walimu ni vijana sana,ama mavazi ya wanafunzi yanawachanganya walimu.
na hata walimu wa kike wengi wao tabia zao mitaani si za kufurahisha,tangulizaeni madai yenu ya kuboresha maisha yenu na msisahau kuboresha tabia zenu!
 
lack of motivation.pia ni wachache wasio na maadili au haiba.mwalimu ni lazima awe roll model kama nimekosea spelling pouwa tu ila ujumbe umefika.
 
Kwani kama akikutaka ukakataa atakubaka? Kinachotokea hapo ni makubaliano na mara nyingi ni wanafunzi wengi kutopenda kujibidiisha katika masomo lakini wanapenda kufaulu. Sasa ikitokea mwalimu asiye na maadili (ukichukulia siku hizi fani imevamiwa na voda fasta) anatumia nafasi hiyo vizuri. Ukitaka urahisi lazima ulipie. Jitume mwenyewe kwenye masomo yako hakuna fataki atakayekugusa lakini ukifungua milango itaingia hewa,inzi,vumbi nk.
 
Yah, ni ngonjera ya kichwa maji lakini ina mashiko. Suala la jumla walimu tuna maadili tena tumeyashika sana . Tatizo hali ngumu ya kipato inafanya nishindwe kutongoza mabinti saizi yetu ambao ni matawi ya juu, hivyo tunaishia kula vya madhabahuni yaani wanafunzi. Dada zetu walimu hawatutaki walimu wenzao ila wanaruka na wenye fuba kubwa. Tuboresheeni kipato mambo yatakuwa safi.
 
Yah, ni ngonjera ya kichwa maji lakini ina mashiko. Suala la jumla walimu tuna maadili tena tumeyashika sana . Tatizo hali ngumu ya kipato inafanya nishindwe kutongoza mabinti saizi yetu ambao ni matawi ya juu, hivyo tunaishia kula vya madhabahuni yaani wanafunzi. Dada zetu walimu hawatutaki walimu wenzao ila wanaruka na wenye fuba kubwa. Tuboresheeni kipato mambo yatakuwa safi.

Duh!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
nasema nanyi walimu,mnaoniangalia
matendo yenu ya sumu,mi' nimeshayasikia
bado hamjanipata?nimetumia tungo tata?
kweli kupanda mchongoma,na kushuka ndio ngoima
ninapatwa na uchungu,nikiwacheki walimu
napata kizunguzungu,matendo yenu ya sumu
twapigania haki zenu,mnazima ndoto zetu
tunatetea uhuru wenu,mnaharibu future zetu
mnatoka na wanafunzi,mnawa-dump ka' magunzi
mwawapa mimba wanafunzi,mnakana.....
je,ni upungufu wa mishahara,..am,a ukosefu wa nyumba za walimu...unaosababisha haya?
si mijini,si vijijini...si kayumba,si private...maticha wamekuwa too much!:sad:

Unahitaji kufanya uchunguzi,hulka ya mtu mmoja mmoja has nothing to do with profesionalism! au leo umeanza na walimu,kesho wahasibu,kesho kutwa madaktari n.k!!?
 
mbona unazunguka? funguka usiogope ban,usiwe dhaifu...ni mwl nani kammimba dadayako?
 
Back
Top Bottom