Nokla
JF-Expert Member
- Aug 12, 2012
- 3,190
- 1,780
Heshima kwenu wandugu,
Thadhari: Sina chuki binafsi
Kwa kuanzia tu mkoa wote wa kilimanjaro ni mkoa ambao kweli maendelea yapo, wilaya zote zimeunganishwa na miundombinu yote muhimu, maji umeme, barabara n.k
Tabia yao mbaya ni tabia ya kuomba lift hasa kwenye private cars, yaani si kwamba kuna shida ya usafir la hasha ila kautafiti kadogo nilichokifanya ni kwamba wana save budget, yaani ni aibu sana. utakuta wazee, vijana na watoto wanakaa barabara kazi kusimamisha private cars wakikuta gari ya abiria wauchuna(baadhi) ili tu apate lift ya bure,
sasa najiuliza:-
-inakuaje mtu humjui na gari tinted sometimes lakini umeng'ang'ana kuomba lift ukitekwa je?
-Moshi na maeneo yake ya daladala nying kuliko hata idadi ya watu imekuaje mnaombaomba lift wajameni?
Acheni tabia mbaya tu.
Thadhari: Sina chuki binafsi
Kwa kuanzia tu mkoa wote wa kilimanjaro ni mkoa ambao kweli maendelea yapo, wilaya zote zimeunganishwa na miundombinu yote muhimu, maji umeme, barabara n.k
Tabia yao mbaya ni tabia ya kuomba lift hasa kwenye private cars, yaani si kwamba kuna shida ya usafir la hasha ila kautafiti kadogo nilichokifanya ni kwamba wana save budget, yaani ni aibu sana. utakuta wazee, vijana na watoto wanakaa barabara kazi kusimamisha private cars wakikuta gari ya abiria wauchuna(baadhi) ili tu apate lift ya bure,
sasa najiuliza:-
-inakuaje mtu humjui na gari tinted sometimes lakini umeng'ang'ana kuomba lift ukitekwa je?
-Moshi na maeneo yake ya daladala nying kuliko hata idadi ya watu imekuaje mnaombaomba lift wajameni?
Acheni tabia mbaya tu.
